Watu jaribuni kusoma sheria vizuri tusiwe tunakuja na mihemuko tu bila kujua jambo, CAG hakagui migodi jamani hizo ni sekita binafisi, ndio maana kaitwa CAG, mkaguzi wa fedha na hesabu za serikali. Unaposema mererani na kujengewa ukuta Rais alifanya hivo kwa ajili ya kudhibiti utoroshaji wa...
Sasa makonda na Mambosasa tangu lini wakawa waigizaji? Watu tuwe serious na mambo mhimu mda mwingine kutwa tunalalamika wanatupiga na kutuumiza mtu anaibuka kusema walipewa jana tuzo gani! Hii shida nayo
Kichwa chako kina matatizo ndugu, tunajadili namna ya kuboresha na kukuza filam zetu wewe unaibuka na mambo ya Makonda, sasa hapa yanahusiana vipi na tuzo za jana, kweli sisi watanzania tuna safari ndefu sana
Kiongozi mimi mama simu nilimununulia akakataa kuitumia akasema nimpe jirani akiwa na shida atakua anaenda pale kuwasiliana basi nikamkubalia, na mm sijasema hilli jambo liende kwa nani niliandika kama kupata ushauri
Binadamu wote hatuko wakamilifu kila mtu anamapungufu yake yaweza kuwa na mm nimapungufu yangu ndio maana nikaomba ushauri, lakini pia kila mtu anamawazo yake mwingine atakutukana ni sawa yote ni maisha haina tatizo, ungesoma vizuri nilivoandika hapo hata usingenimbia hivo mimi hilo tatizo...
Ukumbuke kiongozi mimi angeng'oa mahindi akatoka nisingelalamika huku , kingine mimi sikujua mama kapanda mahindi kwenye pamba kaja kuniambia alipochukuliwa wale kuku maana na yeye anavodai alikuwa hajui angepewa somo la kilimo cha pamba na afisa kilimo nadhani asingefanya hivo inshu ni kumuacha...
Mkuu mama nilimununulia simu akaikataa hawezi kutumia ikabidi nimpe jirani pale nyumbani ili tuwe tunawasiliana , nakiri kwamba alikosea kuchanganya mahindi kwenye pamba kilichoniumiza ni mama kuchululiwa wale kuku, ilitosha tu hiyo adhabu yakutoa mahindi kwenye pamba
Kama nilivoeleza hapo juu, mimi ni kijana mtafutaji kwa sasa niko hapa mjini Dar, sasa kule kijijini kwetu wanyonge wanaonewa kweli wapendwa. Mama yangu mzazi anashamba lake kalima pamba kachanganya na mahindi kwenye ile pamba na amefanya hivo kwa lengo lakutaka kujiongezea kipato. Maana ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.