Recent content by maliarej

  1. M

    Nauza Kiwanja Mbezibeach kwa bei chee 120milion tu

    Sawa hicho cha sqm 620 bei ya mwisho kabiasaa kinapungua hadi ngapi?
  2. M

    Nauza Kiwanja Mbezibeach kwa bei chee 120milion tu

    Sasa hapo unanichanganya umesema sqm 6oo na jumla 12oo sasa hiyo 620 unetoa wapi na kila kimoja kina 600×2=1200 hebu rekebisha hapo tujuecukweli ni upi kabla sijatoa oda yangu
  3. M

    CV ya James Mbatia na kelele zake kuhusu uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma

    Hapo kuna watu walitumia majina ya wengine lakini walisoma wao hapo nitofauti na mwenye cheti wakati hakusoma yeye na akajiriwa kwa cheti cha chuo akapata mshahari mkubwa wakati hakustahili
  4. M

    Lushoto: Jeshi la Polisi laua Majambazi na kukamata silaha

    S/Gun=shurt gun na smg= Sub mashiner gun
  5. M

    Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

    Lakini mchakato waliutangaza kwanii waziri alikaa kimya tena wanafunzi elfu 88 waliopata elfu 22 hapo bado tu hakustuka na hali hiyo naye anastahili kutumbuliwa[emoji51] [emoji51]
  6. M

    TVS vs BOXER BAJAJ ipi mashine ya ukweli zaidi

    Honda xL inagharama kubwa kwenye matengenezo
  7. M

    Hivi ni kwanini Marekani hakuna malaria?

    Kilimanjaro malaria ipo@ forever
  8. M

    Natoka morogoro

    Mimi nimgeni humu naomba ushirikiano wenu wandugu
  9. M

    Kwanini Rais hajawahi kuzungumzia Habari ya Gesi?

    Gesi ipo ila huenda wakubwa washakula
  10. M

    RC Gambo amwagiza RPC Arusha kumuweka ndani mwandishi wa Azam Tv muda huu

    Vyombo vya habari viko huru kuhabarisha uma kinacho onekana sasa utawala hawataki watu wawe na habari za serikali
Back
Top Bottom