Sasa hapo unanichanganya umesema sqm 6oo na jumla 12oo sasa hiyo 620 unetoa wapi na kila kimoja kina 600×2=1200 hebu rekebisha hapo tujuecukweli ni upi kabla sijatoa oda yangu
Hapo kuna watu walitumia majina ya wengine lakini walisoma wao hapo nitofauti na mwenye cheti wakati hakusoma yeye na akajiriwa kwa cheti cha chuo akapata mshahari mkubwa wakati hakustahili
Lakini mchakato waliutangaza kwanii waziri alikaa kimya tena wanafunzi elfu 88 waliopata elfu 22 hapo bado tu hakustuka na hali hiyo naye anastahili kutumbuliwa[emoji51] [emoji51]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.