Recent content by malela.nc

  1. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Inawezekana mgahawa ukawa karibu na mochwari! Kuna sehemu nimekuta mkoa fulani

    ni sehemu ilitengwa kwa wanaosubiria wapendwa wao. Kuwawekea vitafunwa na maji, soda sio mbaya
  2. malela.nc

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya miwa mpya na ya kisasa zaidi

    Hiyo ni 3 phase Mkuu
  3. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Jimbo gani ligawanywe, kwanini?

    Sahihi aisee, jimbo kubwa kuliko Zbar.
  4. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

    Inawezekana ikawa kweli kuhusu hizo Pombe za bei rahisi lkn wagonjwa wa figo asilimia kubwa ni watu wakipato cha kati na visungura ni kilevi cha watu wa kipato cha chini.
  5. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Kuna kijana anauliza huu ni mshahara kiasi gani 'TRAS 1:1' ?

    Tsh 750,000/=
  6. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Vijana Wawili walio serious na kazi wanahitajika Dar es salaam

    Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya. 1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store) 2. Ingia Invite & Earn 3. Bonyeza Redeem 4. Weka hii code MPK73MPL Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
  7. malela.nc

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0202 😳
  8. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, ningependa kupark gari JNIA ili nikirudi niichukue

    2000 kwa saa la kwanza tu baada ya hapo kila saa ni 1000.
  9. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Natengeneza friji, friza na viyoyozi

    Hapana ni Super General ya Mlango mmoja
  10. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Natengeneza friji, friza na viyoyozi

    Nina frige langu linawaka lakini halipati ubaridi kabisa. Shida inaweza kuwa nini. Tangu nichukue halijawahi fanyiwa ufundi wowote
  11. malela.nc

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtaalam wa Kutengeneza chakula cha mifugo.

    Tupo na ujuzi lakini uzoefu ndio changamoto Mkuu.
Back
Top Bottom