Recent content by MALEBO

  1. MALEBO

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Tabia za Zitto ni mtaji wa kutosha kumfanya asifanikiwe kisiasa,Zitto anatumika tu na CCM,ambayo hata yenyewe huwa unamizengwe yake ambayo ni zaidi ya CDM,Kama kuzushia watu kuwa sio Raia,ni bora kumfukuza mtu uanachama kuliko kumvua haki yake ya Uraia,Zitto Kama anataka aendelee kwenye siasa ni...
  2. MALEBO

    Kinachoendelea mitaani kwa ajili ya kumpa support ZZK leo pale H.C

    Hebu taja tena hayo maeneo,umesema Manzese,buguruni na temeke?,wow that's interesting!,mbona ni ngome za CUF hizo hao wafuasi wa CDM wametokaje Huko?
  3. MALEBO

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikimkubali sana Zitto kisiasa na amekuwa role model kwangu katika nyanja za self development kwani kani inspire sana kusoma vitabu na kufatilia masuala ya dunia,kitu nilichokua sikijui ni kuwa jamaa huyu alikua anacheza role kubwa sana Chadema,na sio kwa manufaa ya...
  4. MALEBO

    Mahakama kuu yaahirisha kutoa uamuzi dhidi ya Zitto

    Kwa kuifananisha na operation tokomeza iliyoendeshwa na Serkali ya CCM ambayo hata haijamwajibisha mhusika mkuu(waziri Mkuu),unataka kusema kwamba maovu kwa CCM ni kawaida tu na hayaleti madhara ila yakitokea CDM watu wakae wakisuburi madhara sio?,Ifweero hakuna siku hata moja ulishawahi andika...
  5. MALEBO

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Kaka Petro Mselewa za siku kaka yangu?,ni miaka mingi sana toka tuonane,tulikuwa wote Ruvu na tukaja onana tena UD though Mimi nilikaa miezi miwili tu nikaondoka,nimefirahi kukuona jamvini kaka yangu!
  6. MALEBO

    Sugu atikisa Makambako

    Hivi unaelewa kweli hata kitu ulichokiuliza hapo?unajielewa kweli wewe?,hivi watu watajaaje Kama hauna sera?
  7. MALEBO

    Hotuba ya mwigulu karimjee yawakuna wengi,amlipua mbowe

    Ebana kweli kabisa huenda Mwigulu aliitaka nafasi ya Joyce,haiwezekani akawa obsessed na Mbowe mpaka msibani.
  8. MALEBO

    Hotuba ya mwigulu karimjee yawakuna wengi,amlipua mbowe

    Hivi alikua msibani au kwenye kilabu cha pombe???,mtu mwenye akili hata ya mtoto wa darasa la pili hawezi ongea hayo mambo msibani,haki tena huyu MWIGULU sio Muuaji tu,ni kichaa pia,ndio maana anajihisisha sana kwenye mauaji ya watu, ni sababu Hana consciousness ya mambo anayoyafanya,haki ya...
  9. MALEBO

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Mkuu hivi una misimamo kweli maishani mwako? Unakumbuka siku Jaji Mkuu alivyosema Zitto kaapa Hana majina ya walioficha fedha Uswisi?,ulikuja hapa na kumtukana na kusema Chadema mfukuzeni,then Leo unakuja na story nyingine,vipi bana akili ziko Sawa kweli au unaendeshwa na matukio?
  10. MALEBO

    FULL TEXT: Hotuba ya Rais Kikwete kuufunga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014

    Kama Aliens wa Jupiter walisoma hii hotuba itawaingiza Chaka sana kuhusu Nchi gani wafikie,cause it seems like everything is working very well for Tanzania.
  11. MALEBO

    Mnaotaka nafasi za ubunge kupitia CHADEMA mmeisoma hii?

    Pls kill yourself!
  12. MALEBO

    Warioba:Tanganyika ina shutumiwa kwa kuvaa koti la Muungano na kufanya Tanzania ndiyo Tanganyika

    Ha ha ha ha ha aaa,Mkuu unanivunja mbavu hapa,mmoja tu tuliambiwa tutakula nyasi,sasa watutu Si tutaambiwa tujile wenyewe!
  13. MALEBO

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Habari zote mlizopendekeza ni kubwa ila binafsi hakun hata habari mojawapo hapo juu iliyonibamba humu JF,naichukulia JF Kama platform ya watanzania kujuzana habari mbalimbali za kimataifa ila sanasana ni za kitaifa,JF inawasaidia watanzania zaidi kujua mambo ya kwao,kwa kuhabarishana moja kwa...
  14. MALEBO

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    Watu weusi bana,tabu tupu,sio kila hadithi utakayothimuliwa ni ya ukweli,mambo ya Dini ni hadithi ambazo watu wamekuwa wakiamini vizazi na vizazi,na kuamini hadithi moja kusikufanye uwe mji.nga wa kukejeli hadithi aliyoiamini mwingine,sababu mwisho wa siku true enlightenment au fulfilness ya...
  15. MALEBO

    Shule taabani: Mwalimu Mmoja - Chekechea hadi Darasa la Saba... Lakini yafaulisha wanafunzi wote

    Matokeo makubwa sasa,bila maandalizi makubwa Jana,tunafunika moto kwa nyasi tukitegemea utazimika,tuendelee tu kufaulisha watu hata Kama kichwani hakuna kitu ila tujue hili ni timebomb,'SIASA MBELE MAMBO MUHIMU BAADAE',hii ndio kauli mbiu halisi ya hii sarekali,kwa GT atanielewa vizuri sana.
Back
Top Bottom