Recent content by malango76

  1. M

    Bungeni: Joseph Musukuma asema ana majina ya wabunge wa upinzani waliohongwa kuitetea ACACIA

    Sasa kwa elimu ya msukuma unafikiri ataongea nini? Baba Jesca bado CCM hawajamuelewa. Bunge letu linatia aibu kwa kweli
  2. M

    Wananchi msifanye makosa 2020 ya kuchagua wabunge wanaosusa Bungeni

    Mchangiaji umenilazimisha nitoe maneno mabaya hata kama hujayasikia. Wabunge wa CCM kwa uwingi wao ndiyo waliotufikisha hapa tulipo. Lkn hamuoni kitu. Poor Tanzania
  3. M

    Chenge,Werema: Tume imedanganya kiasi kilichopo kwenye mchanga, wajivua lawama

    Analyzing mineral samples does not need more than a week to get results therefore three months is more than enough. Tujadili reliability ya results na siyo muda uliotumika. Chenge hatakiwi kusikilizwa hata kidogo kwa nchi zingine ilibidi awe anaongelea mahabusu.
  4. M

    Profesa Lipumba: Namsubiri Maalim Seif aje ofisini nimpangie majukumu yake

    Kiukweli Lipumba ni msaliti mkubwa na lengo lake ni kuhujumu CUF hana lolote. Kuwaacha wenzako kipindi kigumu cha kampeni na uchaguzi kwa ujumla ni kitendo kibaya sana najua hata yeye anaona aibu moyoni mwake. Anatumiwa na ni kibaraka. Alaaniwe sana. Clouds wamefanya kazi nzuri sana.
  5. M

    Social Media reactions as President Magufuli sacks his Minister

    So why Makonda has not been punished then? Tanzania ya Viwanda
  6. M

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Mimi nafikiri anaandika huku akitumia uti wa mgongo kufikiria. Shame upon him
  7. M

    Kauli ya Lawrence Masha baada ya kukamatwa kwa Tundu Lissu

    True. Anawanyima usingizi kabisa. Jamani hii hali hadi lini?
  8. M

    Inauma sana Mashehe kuwekwa ndani miaka minne

    Acha udini wewe. Nyinyi size yenu Trump tu
  9. M

    Sakata la Makonda lachukua sura mpya, Mameya na Madiwani kutoshirikiana na RC

    Utawezaje kuleta maendeleo kwa wananchi kama pale juu mkoani kuna kiongozi kilaza?
  10. M

    Simba yamhonga mwamuzi

    Kwanini hamseni Ruvu wamemhonga refa? Simba ahonge nini na tayari ameshawalegeza, iache Simba isonge mbele
  11. M

    Mrisho Gambo anavyotumika kumsulubu Godbless Lema

    Uliyoyaandika hujayafanyia utafiti ukitaka kuujua ukweli jiulize kwanini wanashindwa na kuogopa kumpatia dhamana ambayo ni haki yake na ipo wazi kabisa
  12. M

    Swali la kujiuliza kwa mtu mwenye akili?

    Kweli huyu Mheshimiwa anatakiwa kupongezwa kwa uthubutu chanya. Anaweza kama tutamuunga mkono
  13. M

    Hii ya Wazungu kumsusia D.Trump, imekaaje?

    Uwe unasikiliza habari za kimataifa. Marais wastaafu waliohai wote watahudhuria isipokuwa bush mkubwa kwasababu ya kiafya
Back
Top Bottom