Recent content by malampaka lali

  1. M

    Diamond Platnumz ameshawalipa wafanyakazi wa Wasafi mshahara wa mwezi December. Kwenu mnalipwa mshahara tarehe ngapi?

    Bongo lala Kuna ulazima wa kuongelea hayo mbele ya umma kweli kwani si nimkataba baina yake na mtumishi wake pia ni matakwa yake
  2. M

    Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

    Nawewe ni wale wale tu huna hoja kwani kuwa na follows wengi ndio kupata hela hujui kama watanzania wengi ni malimbukeni wa mitandao wanamfollow mtu tu bila sababu
  3. M

    Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

    Kwahiyo mtu kujisahau remote kwenye mkoba ni ushamba
  4. M

    Nikasome degree nyingine au nifungue biashara?

    Usije ukaoa mwanamke kwa leongo lolote la maendeleo utapotea oa kwa lengo la kuongeaa familia (kuzaa) hayo unayoyafikilia kichwani kwa wenzetu huwa hayapo ni wachache sana wenye mitazamo hiyo. Chukua hii baadae utanikumbuka.
  5. M

    Pesa ina kaujeuri fulani hivi

    Hama hiyo nyumba kama mtu anakuwa na jeuri kwa vitu kama Tv (liability) sahau kuhusu issue ya maendeleo kwa maana watu wanaokuzunguka hawana future hiyo kimbia mashindano ya olympc
  6. M

    Usikubali kulipwa mshahara maisha yako yote, kataa

    Wewe mwenyewe ung ekuwa na kazi au biashara nzuri hata huu muda wa kupoteza kuandika ulichokiandika hapa usingeupata ila kwasababu huna kazi wala biashara ya kukuweka bize ndio maana unaandika haya
  7. M

    January Makamba akabidhi ofisi kwa Waziri Kombo

    Kwahiyo kama ni tiss ndio unatakiwa umuogope ila. Watanzania alie turoga alishakufa
  8. M

    Nusuru ndoa yangu

    Acha kutetea ujinga
  9. M

    Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

    Mbona mnaponda sana mishahara ya watu utafkri ninyi mnamaisha mazuri sana. Jamii forum kila mtu ana hela
Back
Top Bottom