Nawewe ni wale wale tu huna hoja kwani kuwa na follows wengi ndio kupata hela hujui kama watanzania wengi ni malimbukeni wa mitandao wanamfollow mtu tu bila sababu
Usije ukaoa mwanamke kwa leongo lolote la maendeleo utapotea oa kwa lengo la kuongeaa familia (kuzaa) hayo unayoyafikilia kichwani kwa wenzetu huwa hayapo ni wachache sana wenye mitazamo hiyo.
Chukua hii baadae utanikumbuka.
Hama hiyo nyumba kama mtu anakuwa na jeuri kwa vitu kama Tv (liability) sahau kuhusu issue ya maendeleo kwa maana watu wanaokuzunguka hawana future hiyo kimbia mashindano ya olympc
Wewe mwenyewe ung
ekuwa na kazi au biashara nzuri hata huu muda wa kupoteza kuandika ulichokiandika hapa usingeupata ila kwasababu huna kazi wala biashara ya kukuweka bize ndio maana unaandika haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.