Recent content by Malaika_financials

  1. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Money Heist - Season 5 part 2

    Exactly, Yaanii part 2 is [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]. Nairudia rudia part 2 na sichoki
  2. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Watumishi wengi wa serikali mnatia huruma mno, ni katikati ya mwezi ila nimepokea zaidi ya simu 10 mkiomba msaada wa pesa

    Na mimi naweza kuja mkuu kwa ajili ya ujira? Hali mbaya.[emoji17]
  3. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Natafta kazi ya uhasibu

    Asante
  4. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Natafta kazi ya uhasibu

    Habari ndugu zangu, Mimi ni mwanamke mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu sana kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo: ●Preparation of payrolls ●cash management, ●Monthly filing of Vat Returns. ●Paye and Sdl efiling ●Withholding tax and Stamp...
  5. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Habari zenu wapendwa, Je unataka kulipa kodi ya biashara na hujui pakuanzia? Karibu sana kwa ajili ya ushauri na kuelekezwa namna ya kulipa kodi, Kujua kodi yako unayodaiwa TRA na jinsi ya kuilipa. Kufanyiwa mahesabu yako ya mwaka,Ukaguzi wa mahesabu, Efiling,Provisional tax,Paye and sdl...
  6. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Cheaters: The Series

    Just finished reading it now...Wow[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
  7. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Amina, nashukuru sana mkuu
  8. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Karibu sana boss
  9. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Ohhh, that's great..Ila nitamhitaji in the future kwasababu mwenyewe ndo nimeanza
  10. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Karibu PM kwa mazungumzo mkuu
  11. Malaika_financials

    JamiiForums Tanzania Tax and financial consultation services

    Bado hakuna implementation kwenye kuandaa business plan nzuri.
Back
Top Bottom