Habari ndugu zangu,
Mimi ni mwanamke mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu sana kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo:
●Preparation of payrolls
●cash management,
●Monthly filing of Vat Returns.
●Paye and Sdl efiling
●Withholding tax and Stamp...
Habari zenu wapendwa,
Je unataka kulipa kodi ya biashara na hujui pakuanzia?
Karibu sana kwa ajili ya ushauri na kuelekezwa namna ya kulipa kodi, Kujua kodi yako unayodaiwa TRA na jinsi ya kuilipa.
Kufanyiwa mahesabu yako ya mwaka,Ukaguzi wa mahesabu, Efiling,Provisional tax,Paye and sdl...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.