ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,029
- 2,471
Mkiwa na msururu wa madeni ya nguo na mapochi bila kusahau viatu aka skuna.Mnaongoza kwa mikopo kwenye Taasisi ndogo za fedha kuanzia saccos mpaka vicobaWalimu tuna haiba ya ustaha na aibu kuombaomba lakini siyo kwamba hatuishiwi ni ile tu tunatumia kwa level yetu ya salary ndogo yenye kulengwa na machoz