Recent content by Malaika Aurora

  1. M

    Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

    Unajuta kwa sababu we ni BOY ungesubiri uwe MAN ndo uoe
  2. M

    Tatizo la Midomo (lips) kuwa nyekundu- Chanzo, ushauri na tiba

    Kula vitu organic! Acha kula artificial things! Soda, vyakula vya makopo etc achana navyo, ni dalili mwili wako una sumu!
  3. M

    Daktari aeleza hatari ya vyuma vilivyoko kwenye moyo wa Manji

    Akishinda hii kesi itakuwa ni kushindwa kwa DAB
  4. M

    IGP Sirro amstaafishe Mambosasa kwa Heshima ya Jeshi la Polisi au RC Dar ajiuzulu

    una kura yangu 2020. Vipi chama kimeshasajiliwa?
  5. M

    Mamlaka husika waadhibuni Star Swahili

    Ndio maana wanasemaga filamu hii ni ya miaka 18+, 16, 13 au ya kuangalia na familia n.k... Sa iweje filamu ya miaka 18 uachie watoto wa miaka 10? Pambana na hali yako.
  6. M

    Huyu Beki 3 nimfanyeje?

    We unataka umfanyeje? Inaonekana unamchekea ndo maana anafanya yote hayo! Ivi we ni baba mwenye heshima zako kweli??? Mfyuuuuu ndo maana hata unadharauliwa na baki tatu! Na unachotafuta utakipata soon!!
  7. M

    Jiji la Dar kufungwa camera za usalama kudhibiti uhalifu!

    Zitakuwa zinafatiliwa 24hrs au?? Maana kunaweza ibiwa na wasijue pa kumpata mwizi mwenyewe kama sio masaa 24 zinafatiliwa..
  8. M

    Naombeni ushauri boyfriend wangu ana manyoya mengi

    Duh..... Kwani amekuwa kuku?? Mnyonyoe!!!
Back
Top Bottom