Ndio maana wanasemaga filamu hii ni ya miaka 18+, 16, 13 au ya kuangalia na familia n.k... Sa iweje filamu ya miaka 18 uachie watoto wa miaka 10? Pambana na hali yako.
We unataka umfanyeje? Inaonekana unamchekea ndo maana anafanya yote hayo! Ivi we ni baba mwenye heshima zako kweli??? Mfyuuuuu ndo maana hata unadharauliwa na baki tatu! Na unachotafuta utakipata soon!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.