rais ametoa kulingana na hitaji la mtoto huyo kwa wakati huu, mengine yatafuata. Je, ni wangali walioona habari hiyo na kuchukua hatua japo kidogo kwa wakati huo. hata ukipewa kidogo shukuru.Kila jambo kwa wakati wake.Matatizo mengi ya walemavu naamini atayashughuliki.Mpeni muda.
sababu ya kwenda peke yake badala ya familia nzima ama na mkewe nadhani ni kuondoa attention kwa baadhi ya waumini na kuwaondoa kwenye mood ya kusali na kubaki kuwashangaa, pili kanisa katoliki kutegemeana na makanisa wanayo misa zaidi ya tatu hivyo sio lazima kama rais anaenda misa ya kwanza...
sio kweli kuwa wanafichwa labda kama haukuwa na interest ya kufuatilia maisha yake kwenye media anao watoto saba wakike wako wanne na wakiume watatu, na mama yake mzazi yuko hai.
Jinsi Edward Lowassa alivyo, inaonekana kuna kitu alichokidhamiria katika nchi hii.Labda kulipa kisasi.Lakini yote namwona kama ni changudoa wa kisiasa
Usiwadhalilishe walimu kana kwamba jawajui kitu.Mbona malalamiko ya tatizo ya BVR yameanzia mikoani, watu wanaosishi Dar waliona kana kwamba ni Umbeya.Tatizo kuonekana kukithiri DAR ni kutokana na kuwepo kwa joto jinsi na Mashine hizo na joto ni vitu viwili tofauti.Yataka uvumilivu ndugu, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.