kibanga 3
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,380
- 977
magufuli ana mke na watoto kadhaa naomba mwongozo
hata mimi hilo limenipa shida kidogo sijui kwa nini idadi ya watoto inafichwa
magufuli ana mke na watoto kadhaa naomba mwongozo
Hivi alikuwa na Mumewe pale taifa?!!
Makamu wa rais ni nafasi exclusive kwa ajili ya Waislam tu.
Makamu wa rais ni nafasi exclusive kwa ajili ya Waislam tu.
Duu make ups kweli zinafanya kazi zake!
[h=3][/h]![]()
Mh. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa makamu wa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na kusaini kiapo chake leo Tar. 05/11/2015 saa nne na dakika hamsini na nne.
![]()
usilete udini hapa. Katiba inasema Rais akitoka bara basi makamu lazima atoke Zanzibar na kama tujuavyo zenji muslims ni wengi. Lakini pia kumbuka alipitia mchakato wa mchujo ndani ya ccm.
hata mimi hilo limenipa shida kidogo sijui kwa nini idadi ya watoto inafichwa
![]()
Hivi alipokuwa na miaka 18 - 25 alikuwa na muonekano gani hapa kilometa zimesha kwenda sana lakini anaonekana mrembo si mchezo.
Makamu wa rais ni nafasi exclusive kwa ajili ya Waislam tu.
[h=3][/h]![]()
Mh. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa makamu wa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na kusaini kiapo chake leo Tar. 05/11/2015 saa nne na dakika hamsini na nne.
![]()
Duu make ups kweli zinafanya kazi zake!