Recent content by makwa

  1. makwa

    Dkt. Festus Bulugu Limbu anafaa nafasi ya juu Serikali humu nchini

    Aliongoza jimbo kwa miaka 15,sio mitano,na hakushindwa uchaguzi,bali uchaguzi uliofuata hakugombea kabisa kwa hiari yake
  2. makwa

    Dkt. Festus Bulugu Limbu anafaa nafasi ya juu Serikali humu nchini

    Festus Bulugu Limbu,namfahamu toka anafundisha uchumi chuo kikuu cha DSm,ni mtu mwenye msimamo na maono saana.alimsaidia saana Benjamini Mkapa katika uongozi wake,kipindi hicho alikuwa naibu wa fedha,sera na mipango,alisaidia saana hata uchumi wetu kuimalika kipindi hicho.huyu pia ni tunu kwa...
  3. makwa

    Dkt. Festus Bulugu Limbu anafaa nafasi ya juu Serikali humu nchini

    Festus bulugu limbu,ni moja ya watu makini,nakumbuka saana kipindi cha uongozi wa Rais Benjamin Mkapa,akiwa naibu waziri wa fedha,sera na mipango.uchumi ulipanda saana kipindi cha Mkapa,Kazi kubwa aliifanya Festus Limbu.kwa kifupi mheshimiwa Limbu anastahili,ana kila sifa ya kuwa kiongozi,hata...
  4. makwa

    Dr. Festus Limbu, binafisi nimekuelewa saana kwa hili swala wafanyabiashara wakubwa

    Hii makala inapatikana katika gazeti la jamhuri la april 6,2021
  5. makwa

    Nani anafaa kuwa Waziri Mpya wa Fedha na Mipango?

    Vijana vijana hawa, hawaaminiki saana, ni wizara nyeti saana hiyo, inahitaji mtu mzima anaejitambua na mwenye uzoefu
  6. makwa

    Nani anafaa kuwa Waziri Mpya wa Fedha na Mipango?

    Festus Bulugu Limbu, anafaa kuwa waziri wa fedha, kwa nini nasema Festus Limbu, alifanya kazi kama naibu waziri wa fedha katika awamu ya tatu katika uongozi wa Mh. Ben Mkapa, alikuwa na kazi maalumu ya ukusanyaji mapato. Hakika kila mmoja atakumbuka serikali ilifanikiwa kukusanya hela nyingi...
  7. makwa

    Ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa!!

    Boss huwezi pata ramani kwa stail hii,ukipata uyapata ramani isiyokidhi hajabya moyo wako,utaletewa ramani za ulaya ambazo nyingi haziendani na mazingira na tamaduni za kiafrica.kwa ushauri zaidi nitafute.0713051170
  8. makwa

    Wachora ramani za nyumba mna shida gani?

    Hiyo gharama za kawaida saana uliyopewa,na hawa wachoraji wa instagram wengi ni fresh from collage wanatafuta network.wengine ni watu wa kukopy na kupaste.architect anaeelewa sheria na taratibu za bord,hajitangazi ila Nazi zake ndo zinamtangaza.hao wa barabarani wanaouza ramani wengi na...
  9. makwa

    Tanzia: Baba mzazi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali afariki dunia mchana leo Sengerema hospital

    Baba mzazi wa mwanasheria mkuu wa serikali,Alderius Kilangi Lubango,amefariki dunia mchana leo katika hospital ya wilaya ya Sengerema.R.I.P Mzee Lubango.niliongea na mtoto wa marehemu ambae ni Advocate Denice Sebugwao,alisema mzee alikuwa anasumbuliwa na presha.
  10. makwa

    Nafikiria Kujenga Nyumba Yenye Sketch Hii, Naomba Ushauri Wako

    Kama unaweza,nitafute nikushauri,make ndo buiding designer ndo kazi yangu.wasichokijua watu wengi,design inazingatia mambo mengi,ikiwemo.utamaduni,mazingira n.k.Nyumba ya za ulaya za kudownload,kuzijenga hapa kwetu,kuna changamoto zake.Africa tuna tamaduni zetu na teknologia yetu bado ipo...
  11. makwa

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Rafiki yangu kabisa,aliwahi kufanya mapenzi juu ya kabuli,ilikuwa usiku.na kesho yake akaenda kuangalia msalaba wa kabuli ili kujua kama lilikuwa kaburi la mwanamke au la mwanaume.misalaba si mnajua inaandikwa majina.aliniacha hoi kwa mshangao.
  12. makwa

    Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

    Ushindi wa simba leo ni droo.
  13. makwa

    Computer4Sale Dell inspiron 200k

    Bei tafadhari.
Back
Top Bottom