Kumbe naye kutoka kule kule!
Lubango ni jina la kawaida sana kwetu Usukumani. Kama haujui kaa kimya. Hao wanaosema hadi AG ni Msukuma wana hoja. Acha kushambulia mtu. Jibu hoja zao. Msiba usiwe kichaka cha kujifichaWachawi utawajua tu, hadi msibani badala ya kuomboleza, wanatafuta vijambo ili wakutoge. Sio wote wanaofia Sengerema ni Wasukuma Tanzania ni yetu sote
Ni mtanzania
Lubango kwa tafsiri nyepesi ni BARAKALubango ni jina la kawaida sana kwetu Usukumani. Kama haujui kaa kimya. Hao wanaesema hadi AG ni Msukuma wana hoja. Acha kushambulia mtu. Jibu hoja zao. Msiba usiwe kichaka cha kujificha
Kisukuma haswa hakina hila ndani yake!Lubango kwa tafsiri nyepesi ni BARAKA
Hahahahahaha mkuuKisukuma haswa hakina hila ndani yake!
Tangulia ukapaone huko JIWE na mwanao wanaposhirikiana kupeleka watu kwasababu ya utamu wa madaraka.Baba mzazi wa mwanasheria mkuu wa serikali,Alderius Kilangi Lubango,amefariki dunia mchana leo katika hospital ya wilaya ya Sengerema.R.I.P Mzee Lubango.niliongea na mtoto wa marehemu ambae ni Advocate Denice Sebugwao,alisema mzee alikuwa anasumbuliwa na presha.