yaani wewe Huna maana Kabisa unasherehekea Mtz mwenzio kupata Ajali? Kama hali ni hivyo huo UKAWA unaoushabikia hauna maana Kama wewe Ndio maana hatuwachagui sie na MAGUFULI TU
Kumbe ni keeling wale wanaosema Kuwa elimu yetu imeshuka Kama si ushabiki yaliyo stemware na Magufuli ni sawa wala hakuna tafrani ya international relation. Kama ni ushabiki Lowasa Hafai
lowasa Hafai Leo Ndio umejua? Historia ilisha andikwa washabiki wataendelea kushabikia na kuendelea kujifunika blanketing la ushabiki Huku wakiiacha Historia ikiwapa ......., Tunasahau Baraka Hafai.........!
Dr Kitila yuko sahihi kwa mtazamo wake wa sasa wenye mawazo yasiyo ganda na wakati. Kinachogomba si kile alichokisema yeye bali ni Kuwa kasema kinyume na kile ambacho ulitaka na kutazamia aseme ulivyotaka wewe aseme. Na huo ndio uhuru wa mawazo. Cha msingi ni kuchambua uzito wa hoja yake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.