Recent content by Makunzo

  1. M

    Mume wangu katumiwa Valentines card na mwanamke mwingine

    Dada Ishengomaf, Mshukuru Mungu kwamba una chombo kilichoumbika na kupendeza mpaka kinapendwa na wanamke mwingine. Kutumiwa kadi mmeo kweupe (mchana ) ukiwepona wewe nyumbani siyo tatizo, tatizo kama mmeo atajitoa kimwili kwa kahaba huyo! Mwombe Mungu apate moyo wa kukuthamini...
  2. M

    Korti yaamuru Nabii Mwingira akamatwe

    Mungu ana Nguvu zaidi ya Nguvu ya Mahakama. Ni hatari kuwakamata watumishi wa Mungu. Ni Hatari, ni hatari mmmmm naogopa sana.
  3. M

    Kwa nini kuoa au kuolewa?

    You know, watu wanaoa na wengine kuolewa kweli wanajua kwa nini wafanya jambo hilo? Wengine wanaweza kuoa kwa sababu wamewaona wenziwao au rafiki zao wanaoa au kuolewa, wengine tamaa ya tendo la ndoa nk Nilichotaka kufahamu ni: (1) Kama wewe umeshaoa/ kuolewa tayari au labda utaoa au kuolewa...
  4. M

    Kwa nini kuoa au kuolewa?

    ...Kwa nini Mungu ametuagiza "Mtu mme awe na mke wake mwemyewe na mtu mke awe na mme wake mwenyewe?" Kwa nini Mungu aliagiza hayo? nini umuhimu wa ndoa? Unadhani kwa kusema hivyo ulifikiri chochote kuhusu ndoa za jinsia moja kama wanavyofanya watu leo? Unadhani kwa nini?
  5. M

    Neno mapenzi lina maana gani?

    Mmmuuh Nimejisikia furaha sana kwa majibu mzuri mheshimiwa Bazazi. Meseji yako nzuri sana sana hasa hasa uliponipeleka kiroho. Si wote wanajua hasa Upendo wa Mungu au mapenzi ya Mungu kwa wanadamu. Wengi hawana AGAPE: Upendo unaoongozwa na kanuni na unatia ndani mambo mengi; unahusisha fikira...
  6. M

    Neno mapenzi lina maana gani?

    Nauliza, neno mapenzi lina maana ya tendo la mapenzi kati ya wapendanao au mapendo kati ya wapendanao? kama neno hilo lina maana ya mapenzi ya kimwili kwa nini mtu amwite mama yake mama mpenzi?
  7. M

    Tiwawoniii!!!

    Mngoni huyooooo, wa nyumbiiiiiiiiiii bobiiiiiiiiiiiiiiiiii ni sawa sawa na neno "habarini"
  8. M

    GE2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

    Viongozi Chadema, Tunashukuru sana kwa taarifa hii. Cha muhimu kusitokee tena matatizo katika uchaguzi kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari. Chadema inapendwa na wengi kutokana na kazi kubwa iliyoifanya Bungeni. Iweje kuwe na vurugu zisizoashiria demokrasia? Demokrasia ya uchaguzi ipewe...
  9. M

    GE2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

    Viongozi Chadema, Tunashukuru sana kwa taarifa hii. Cha muhimu kusitokee tena matatizo katika uchaguzi kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari. Chadema inapendwa na wengi kutokana na kazi kubwa iliyoifanya Bungeni. Iweje kuwe na vurugu zisizoashiria demokrasia? Demokrasia ya uchaguzi ipewe...
Back
Top Bottom