Dada Ishengomaf,
Mshukuru Mungu kwamba una chombo kilichoumbika na kupendeza mpaka kinapendwa na wanamke mwingine. Kutumiwa kadi mmeo kweupe (mchana ) ukiwepona wewe nyumbani siyo tatizo, tatizo kama mmeo atajitoa kimwili kwa kahaba huyo!
Mwombe Mungu apate moyo wa kukuthamini wewe kwanza. Nakushauri usilipize kisasi kwa kuwa ukakayekutana naye kimwili katika kulipiza kisasi, ndiye atakuambukiza ukimwi!!!
Mshukuru Mungu kwamba una chombo kilichoumbika na kupendeza mpaka kinapendwa na wanamke mwingine. Kutumiwa kadi mmeo kweupe (mchana ) ukiwepona wewe nyumbani siyo tatizo, tatizo kama mmeo atajitoa kimwili kwa kahaba huyo!
Mwombe Mungu apate moyo wa kukuthamini wewe kwanza. Nakushauri usilipize kisasi kwa kuwa ukakayekutana naye kimwili katika kulipiza kisasi, ndiye atakuambukiza ukimwi!!!