Jamani wana JF,
Naombeni msaada kwa hawa TANESCO nifanyeje coz nililipia kufungiwa umeme tangu mwezi wa 9 tr 19 mpaka leo tr 19 mwezi 12 sijaona kitu chochote kikifanyika, nimejaribu kufuatilia kwa kila njia wananizungusha tu, kama humu kunamkubwa yoyote wa TANESCO anisaidie.
Maandamano ya philps yalikuja yakaungana na yalio tokea mianzin yakakutana sanawari yakashuka central
NAWAONEA HURUMA SANA HAWA POLIC WANAO LALA NYUMBA ZA BATI CHIN MPAKA JUU
Wanashindwa kuungana na maskin wenzao kudai kahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.