Recent content by makudupa

  1. M

    Msaada: Nimelipia umeme TANESCO lakini sijafungiwa

    Jamani wana JF, Naombeni msaada kwa hawa TANESCO nifanyeje coz nililipia kufungiwa umeme tangu mwezi wa 9 tr 19 mpaka leo tr 19 mwezi 12 sijaona kitu chochote kikifanyika, nimejaribu kufuatilia kwa kila njia wananizungusha tu, kama humu kunamkubwa yoyote wa TANESCO anisaidie.
  2. M

    Picha: CCM vs CHADEMA Shinyanga Mjini. Toa tathmini yako

    Ukawa ni mpango w mungu
  3. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Ukawa CHADEMA ni mbele kwa mbele
  4. M

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    Mwaka huu wao hata waoge maji ya magadi
  5. M

    Polisi Wanafanya maandamano jijini Arusha na Mwanga Mkoani Kilimanjaro

    Maandamano ya philps yalikuja yakaungana na yalio tokea mianzin yakakutana sanawari yakashuka central NAWAONEA HURUMA SANA HAWA POLIC WANAO LALA NYUMBA ZA BATI CHIN MPAKA JUU Wanashindwa kuungana na maskin wenzao kudai kahi
  6. M

    Polisi watumia milioni 200 kuzungukia ofisi za Chadema nchini

    Huo ni ufisadi mwingine tena Nawomba makamanda wote cdm tuungane kwa pamoja kufanikisha maandamano ya kupinga ufisad unao endelea dodoma
  7. M

    Rais Kikwete akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ikulu ndogo Dodoma

    Sasa naye mrema kafata nn? Au sifa 2 shenz time
  8. M

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    kw vyovyote vile maccm ndo kyama chao mwakan
  9. M

    UKAWA Wanahofia Kuzomewa Pindi Wakirudi BMK

    Unaleta hoja pumba
  10. M

    Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

    Baadhi ya wajumbe na waandishi wa habari.
  11. M

    Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

    Baadhi ya wagombea wajumbe mkutano mkuu.
Back
Top Bottom