Jamani wana JF,
Naombeni msaada kwa hawa TANESCO nifanyeje coz nililipia kufungiwa umeme tangu mwezi wa 9 tr 19 mpaka leo tr 19 mwezi 12 sijaona kitu chochote kikifanyika, nimejaribu kufuatilia kwa kila njia wananizungusha tu, kama humu kunamkubwa yoyote wa TANESCO anisaidie.
Naombeni msaada kwa hawa TANESCO nifanyeje coz nililipia kufungiwa umeme tangu mwezi wa 9 tr 19 mpaka leo tr 19 mwezi 12 sijaona kitu chochote kikifanyika, nimejaribu kufuatilia kwa kila njia wananizungusha tu, kama humu kunamkubwa yoyote wa TANESCO anisaidie.