Huu ni wakati muhimu na mgumu sana, La muhimu tuwe makini na tuwe imara ili kuiondoa ccm madarakani, hili ni jambo muhimu kwani itaondoa kibri kwa watawala na wananchi wataheshimika na haki zao zitalindwa ipasavyo. Hata wana ccm walipaswa waliunge mkono hili kwani hata wao wanaathirika na hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.