Pole sana mkuu, lakini sasa na wewe ulikuwa wapi kuyasema yote haya mapema? Umechelewa hadi mafuriko haya hayazuiliki tena kwa sasa! Haya bwana.... Tuseme tu kwamba, nenda baba... Magufuli nenda!
Na bado, kuna muswada wa ndoa za jinsia moja pia utasomwa kwa dharura , na utapitishwa kwa Ndiooooo....Sasa wanaume wenzangu mkitongozwa jamani msirushe ngumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.