Tuko salama,kwa sababu intelligensia yetu ya TZ imesema hivo.Kiongozi unapokuwa na information zote huna muda wa kufikiria zaidi ni kumake decisions fulstop.Unawafahamu wauza unga sasa, unafikiria nini wakati unatakiwa uchukue hatua basi kinyume chake.....Hueleweki!! Tatizo letu serikali...
Bado watanzania wanadhani mtu akiweza kuongea kiingereza ndiyo anaweza kuwa kiongozi bora! sio kweli sana sana watu wengi waliosoma ndiyo waliotufikisha hapa,Mikataba mibovu imesainiwa na watu waliosoma sana tu na kwa kodi ya watanzania.Watu wanaosema ndiyo kwa kila kitu bungeni ni wenye elimu...
Big Result Now! from no where,copy and paste! Big result hata msongamano wa DAR tu umeshindikana,Big result ya nini ?Kuuza madawa au rushwa na Ufisadi! sielewi,Kilimo kwanza vipi na Power tiller,MKUKUTA na MKURABITA vipi?
Ukweli polisi Tanzania hawako huru katika kutenda kazi yao! Wako biased mno na huko tuendako wasipobadilika kazi yao itakuwa ngumu. Polisi jamii itakufa kifo cha mende.
Tatizo la viongozi kama hawa ni UNAFIKI,Hawa ni mafarisayo wanaopenda kuvaa mavazi meupe wakati mioyo yao imekunjana na imeota fungus.Kwa nini mnashindwa kusema ukweli ya kwamba vyama vyote haviruhusiwi kuwa na vikundi vya ulinzi na kwa kuanzia Green Guard ifutwe ili na wengine wanaotaka...
Hivi naomba nisaidiwe,kila mtu na kila chama kinalalamika kuwa huyu ni gaidi na huyu si gaidi! Ni chombo kipi sasa kinaweza kututoa kwenye huu mkanganyiko kama sio polisi? kwa nini polisi wasifanye a thorough investigation? na nini maana ya chama tawala kuunda serikali?serikali ni kwa ajili ya...
Hakika nawaambieni watambiwa maneno mazuri juu ya saa ya ukombozi ikiwa imefika lakini hawatasikia,wataziona ishara nyingi na za aina tofauti za ujio wa mkombozi wao lakini hawataziamini,hakika wametiwa uziwi na upofu!Watanzania tujifunze na tuelimike mabadiliko hayaji kama zawadi toka kwa yule...
Kuna hatua nyingine umeziruka kama kurekebisha sera na sheria zinazopelekea kuunda serikali ya mseto/umoja wa kitaifa hasa pale inadhihirika chama tawala kinaanza kuzidiwa nguvu na upinzani kama ilivofanyika kule zanzibar na Kenya ikiwa ni mkakati wa kupunguza na hatimaye kuua upinzani.
Doa lake ni namna walivojenga hoja ya kuuza nyumba za umma na mchakato mzima wa kutekeleza azma hiyo ya kuuza nyumba za watanzania wote kwa bei wanayojua wao! Otherwise ni miongoni mwa watu ambao kama CCM wangekuwa hawachumii tumboni angeweza kupeperusha bendera ya CCM, LAKINI kwa mfumo wao wa...
Aisee kuna mwenyekiti wa CHADEMA kule Makete kabambikiwa kesi ya uzushi na polisi na amefungwa miezi tisa(9).Jamani CCM ni hatari tusipoangalia tutashindwa hatutaeleweka kwa raia wetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.