Naishauri CCM Kuelekea 2015

Naishauri CCM Kuelekea 2015

Mkuu umeweka ushauri murua lkn napenda kukumbusha kuwa ww sio wa kwanza wala wa pili kutoa ushauri kama huo,alianza baba wa Taifa,kasema weeeeee mpk siku za maisha yake zikafikia ukingoni,na wengine wamesema mpk wanaona midomo inataka kupinda wameamua kunyamaza......siku kinakufa hakuna jinsi mutapata dawa ya kukiponya,kiacheni kikapumzike.....imetosha mateso yake.
 
Big Result Now! from no where,copy and paste! Big result hata msongamano wa DAR tu umeshindikana,Big result ya nini ?Kuuza madawa au rushwa na Ufisadi! sielewi,Kilimo kwanza vipi na Power tiller,MKUKUTA na MKURABITA vipi?
 
Back
Top Bottom