sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,895
- 5,308
Mkuu umeweka ushauri murua lkn napenda kukumbusha kuwa ww sio wa kwanza wala wa pili kutoa ushauri kama huo,alianza baba wa Taifa,kasema weeeeee mpk siku za maisha yake zikafikia ukingoni,na wengine wamesema mpk wanaona midomo inataka kupinda wameamua kunyamaza......siku kinakufa hakuna jinsi mutapata dawa ya kukiponya,kiacheni kikapumzike.....imetosha mateso yake.