Recent content by makota1809

  1. makota1809

    Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

    Mkuu nipo Lindi.....tafadhali ukifika hatua ya kununua bati baada ya kujiridhisha tafadhali naomba tupe mrejesho....mimi nimeshamaliza boma nazchanga naiman panapo uhai na kipato....mwakani mwezi wa sita nitanunua bati...naimani umekusanya maoni yatakayokusaidia kuamua hasa ukizingatia upo...
  2. makota1809

    Utafiti binafsi: Ukilala saa nne usiku ni lazima saa nane uamke

    Nakubaliana nawe mkuu, nilihisi niko peke yangu ...saiv najichelewesha had saa nne na nusu au saa tano
  3. makota1809

    Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

    Huyu jamaa bn....et hawataiona simba chaguo la kwanza,kisa kufuata sheria,pole man
  4. makota1809

    Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

    Et laana [emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwanza ncheke.....laana atoe morison? Pole mtani
  5. makota1809

    Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

    [emoji44][emoji44][emoji44]kazi ya mwenzio ni bora kaka,yako ama zetu haziwasaidii kitu
  6. makota1809

    Natafuta nafasi ya kazi ya Ualimu

    Kamilisha maelezo kwanza...umesomea masomo gani
  7. makota1809

    Marafiki na Visa vyao[emoji23]

    Nmecheka Sana Kama mazuri vile, et n naishukuru serikali
  8. makota1809

    Marafiki na Visa vyao[emoji23]

    Nimeuapdate bro...ndo Uzi wa kwanza kupost ...ni mgeni katika kushusha Uzi....mapungufu ni mengi bado najfunza
  9. makota1809

    Marafiki na Visa vyao[emoji23]

    Wana wanajisahau Sana,Nlikuwa nae mshikaj mwingne tena, baada ya wakwanza kumuibia bimkubwa familia ikasahau ikamsaidia mwingine kumsomesha taratibu akaanza kukamata vijisent hatimae akaanza kuwaongelea ovyo wazee wangu...kiukweli had leo najtahid kumsamehe....aliongea ovyo Sana licha ya msaada...
  10. makota1809

    Marafiki na Visa vyao[emoji23]

    Mshkaj ni muhuni .... Amezoea kupiga...shukuru Sana ungemzoea tena ungewasaidia polisi
  11. makota1809

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwenye swala la transition from defending to attacking holding hamkuti tinnery hata robo...we need him by any means
  12. makota1809

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Alisema kwa wachezaj wakubwa Kama Henry na wengine aliweza kuwaruhusu waondoke kulingana na ofa na falsafa ya club kwa muda ule kuwakuza vijana wadogo lakin kwa vijana wadogo hakufurahiswa na kuondoka kwao akawaweka wazi ukiondoka huwez kurudi
  13. makota1809

    Marafiki na Visa vyao[emoji23]

    Habari wana jukwaa,Leo nimewaza Sana ni mara ngapi maisha yamenipa furaha nkahesabu lakini sikuweza kumaliza wala kukumbuka siku nlizofurahi maana ni nyingi Sana Lakini nkajiuliza tena Mara ngapi mihangaiko ya maisha imenitenganisha na rafiki zangu wa dhati kabisa iwe kwa umbali wa macho yangu...
  14. makota1809

    Upatikanaji wa kipimo (kifaa) cha mimba ukoje?

    At the beginning it disturbed me because of fear....now am enjoying man...akili lazma ikue
Back
Top Bottom