makota1809
Member
- Jan 2, 2015
- 51
- 32
Habari wana jukwaa,Leo nimewaza Sana ni mara ngapi maisha yamenipa furaha nkahesabu lakini sikuweza kumaliza wala kukumbuka siku nlizofurahi maana ni nyingi Sana
Lakini nkajiuliza tena Mara ngapi mihangaiko ya maisha imenitenganisha na rafiki zangu wa dhati kabisa iwe kwa umbali wa macho yangu au kwa mwenye huu ulimwengu kuwachukua kabisa
Nikaona nifungue Uzi maalumu kwa Wana jf kukumbuka visa na Mikasa vya marafiki tuliokuwa nao ama kukumbuka maeneo mlokuwa mnasongesha life pamoja ,hatuwezi jua huenda tunaowakumbuka wapo humu ila sio kwa majina tuliofahamiana nao. Nawasilisha
Nakumbuka nilimshawishi bimkubwa amsaidie rafiki yangu ambae maskan kwao hali ilikuwa duni Sana ukilinganisha na familia yangu,akaanza kumpa miradi mbalimbali kumjua Zaid kwakuwa hakuwa na elimu,alianza na biashara ya mayai,baadae maji na alipomuamin akampa mradi mkubwa wa kuuza samaki wabichi aliokuwa anachukilia tanga...asee mwanzo alianza vizuri sana lakini Kuna siku tumekaa had saa tatu Elias hajarud nyumbani...tukaenda ofisi ya bimkubwa tukakuta mlango uko waz...tukasema atarudi kesho ....kesho ikapta ....simu ukipga haipatkani hatukuwaza Kama atakuwa kakimbia kwa maana jamaa alikuwa mstaaraabu Sana na tulikaa nae Zaid ya miaka 2 ...ilikuwa ngumu kuamini Ila jamaa alikuwa kampga bimkubwa 200000 mwaka 2012 kiukweli aliua biashara kabsa...niliumia sana
Lakini nkajiuliza tena Mara ngapi mihangaiko ya maisha imenitenganisha na rafiki zangu wa dhati kabisa iwe kwa umbali wa macho yangu au kwa mwenye huu ulimwengu kuwachukua kabisa
Nikaona nifungue Uzi maalumu kwa Wana jf kukumbuka visa na Mikasa vya marafiki tuliokuwa nao ama kukumbuka maeneo mlokuwa mnasongesha life pamoja ,hatuwezi jua huenda tunaowakumbuka wapo humu ila sio kwa majina tuliofahamiana nao. Nawasilisha
Nakumbuka nilimshawishi bimkubwa amsaidie rafiki yangu ambae maskan kwao hali ilikuwa duni Sana ukilinganisha na familia yangu,akaanza kumpa miradi mbalimbali kumjua Zaid kwakuwa hakuwa na elimu,alianza na biashara ya mayai,baadae maji na alipomuamin akampa mradi mkubwa wa kuuza samaki wabichi aliokuwa anachukilia tanga...asee mwanzo alianza vizuri sana lakini Kuna siku tumekaa had saa tatu Elias hajarud nyumbani...tukaenda ofisi ya bimkubwa tukakuta mlango uko waz...tukasema atarudi kesho ....kesho ikapta ....simu ukipga haipatkani hatukuwaza Kama atakuwa kakimbia kwa maana jamaa alikuwa mstaaraabu Sana na tulikaa nae Zaid ya miaka 2 ...ilikuwa ngumu kuamini Ila jamaa alikuwa kampga bimkubwa 200000 mwaka 2012 kiukweli aliua biashara kabsa...niliumia sana