umesahau jambo moja kama watu wanaweza aminishwa kuwa ufisadi wa nchi ni richmond tu ila escrow, epa, mabehewa feki, uuzaji wa nyumba za serikali na kivuki feki si ufisadi
jf ingekuwa inaonyesha umri na elimu ya mchangiaji ili tusiwe tunapoteza kujibu hoja watu wengine, mtu anafikiri umeme unazalishwa na maji tu hakuna means zingine ni shida
acha kulinganisha uchaguzi ea 95 na sasa kumbuka ndo ulikuwa mwanzo wa vyama vingi, kuhusu ilani hata magufuri anashika kitabu anachoongea hakipo kabisa katika kitabu hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.