Dakika moja mnalalamika serikali kutumia mapato yake kufanyia shughuli za maendeleo makubwa kama kujenga reli ya kati.
Tukikopa mnaanza kulalamika ooh deni limekuwa ku.bwa.
Hamjui hata mnacho taka.subiri dereva mpaka atakapo ssimama!!
Mzee umeshuka na fact na figure
safi sana.
Tuleteeni na fact za zitto tulinganishe
mi naona zitto anasababu za kisiasa tu
wakati mleta mada kaja kiuchumi zaidi
Hiyo ni tarehe aliyo fanyiziwa kitu mbaya mzee kimambi
mnashangilia tu hujui kuwa huenda mange ana chuki kubwa nchi hii.
ila nyumbu mnataka kuingia kichws kichw tu poleni
Una nia nzuri lakini umeanza kuwa mbaguzi hata kwa jambo linalowahusu waTz wote.
KUNA TABU GANI UNGESEMA NDUGU ZANGU WOTE .WEKENI PASS WORD KWENYE SIMU ZENU.
Huyu mkuu si wa mchezo huu mwezi tangu uanze ni kufungua mavitu mapya tuu. na kila akifungua lazima atupie neno kuhimiza maendeleo na amani si mchezo watu wengi wanazidi kumwelewa.
Haaa haa awamu hii mmebanwa makende, hakuna pa kutokea, hakuna kuitwa ikulu mkanywe chai ,ukileta fyokofyoko SEGEREA TU.
wewe unataka lugha ya staha ya nini,
safari hii karai litaitwa karai,n yie nyumbu mnayo staha hadi utake staha,
kwa taarifa yako watz wanapenda sana hiyo lugha ya moja kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.