Mshkaji, mbona linakuuma sana hawa jamaa wakiwa huru? Sema tukusaidie isijekuwa kuna mahali pa tamu mnanyang'anyana! Acha roho ya hivyo ukingatia kuwa kuna kesho na bado utatakiwa kuishi! Jifunze kupuuza yasiyokuwa na faida ya moja kwa moja kwako ujipunguzie uzee!Sawa,si kadhaminiwa ?