Recent content by Makisha

  1. Makisha

    Nimedhulumiwa makazi yangu, mahakama haijanitendea haki

    Huyo mjomba yupo tu! Na umemuacha aendelee kuishi kwa raha zake! Umezaliwa mwanaume aisee pambana upate haki yako. Mimi ninaamini kwamba kama kitu ni haki yangu hata raisi hana mamlaka nacho zaidi ya kukilinda na kukiheshimu. Vua roho ya utu vaa roho mbaya ili uchague moja kufa au upate haki...
  2. Makisha

    Boko haram ni mali ya CIA ya Marekani

    Hakuna cha waisilamu wala wakristo. Boko haramu ni wahuni tu wanao tumiwa na marekani.
  3. Makisha

    Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

    Around 30s bado ni resonable ege. Ingeleta ukakasi kama ungekuwa umegonga 40s. Hapo bado unanafasi ya kufanya mambo makubwa sana yatakayo change hali ya maisha yako. Cha msingi acha kupanik jiamini kuwa bado unaweza, then panua wigo wa shughuli hizo ndogo unazozifanya angalia ambayo kidogo ina...
  4. Makisha

    Ajali ARUSHA: Bwana harusi afariki ajalini akienda kusikiliza hukumu ya Mama yake

    Hata Mark x iko stable sana barabarani, ni mwaka wa 3 sasa natumia hiyo gari haijawahi kuniletea shida hata uwe speed 180 bado unaona iko normal. Nafikiri ilikuwa siku mbaya tu kwa Marehemu. Mungu awarehemu.
  5. Makisha

    Kanisa la Askofu Gwajima lavunjwa

    Ni ili j2 asipate sehemu kusemea ya liyomtokea lisu leo au?
  6. Makisha

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Nahisi kuna watu wanashauriana ujinga bila kujua ujinga wao una impact kubwa sana kwenye jamii tuliyo nayo. Yangu macho.
  7. Makisha

    Hotuba mbaya kuliko zote kupata kutolewa na kiongozi wa nchi

    Speech hii inaishi hadi leo. Trust me, not.
  8. Makisha

    Mh. Rais mbona umetuachia njiani ???

    Aisee! Watanzania wanakumbukumbu.
  9. Makisha

    Marekani yaitumia Islamic State Kuivamia Philippines

    Marekani yuko nyuma ya nchi nyingi zisizo na amani duniani.
  10. Makisha

    IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

    Kwahiyo watakaa na kukubaliana kwa kutumia mikataba na sheria zilezile ambazo hazina maslahi kwa tanzania au? Na kama ni hivyo hakuna tulichofanya. Daah sijui tutainusuru vipi tanzania dhidi ya hawa wanyang'anyi.!!
  11. Makisha

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Ni vigumu sana kumuelewa lisu kama uwezo wa ubungo kupambanua mambo uko 0.5%
  12. Makisha

    (Maoni) Kwanini tukimbilie kusema R.I.P kwa watoto hawa wasio na hatia??

    Kwa mafundi ajali haitokei bila ya sababu. Ili ajali itokee au gari ipate breakdown kuna mmoja au wote kati ya hawa hawakuteleza wajibu wake kwa ufasaha dereva, fundi au mmiliki wa chombo. Tusimsingizie Mungu kwa kila jambo, Nature ya Mungu alimuumba mwanadamu ili aishi zaidi ya miaka sabini...
  13. Makisha

    (Maoni) Kwanini tukimbilie kusema R.I.P kwa watoto hawa wasio na hatia??

    Kuchukia sio kosa kimaoni. Na bandiko langu halijasema ni kosa kuwatakia amani waliopatwa na umauti ndio mana hata mimi mwisho wa bandiko nimemaliza kwa kuwaombea rehema. Bandiko langu linaonesha udhaifu uliopo baada ya kutamka na kuwatakia amani. Kwa experience yangu huwa tukishasema RIP na...
  14. Makisha

    (Maoni) Kwanini tukimbilie kusema R.I.P kwa watoto hawa wasio na hatia??

    Ni kazi kubwa sana unatakiwa ufanye ili baadhi ya watanzania wakuelewe. Ukisoma habari vizuri utaelewa nini namanisha, lakini kama unasoma huku unafikiria jukwaa la Mmu kamwe hutanielewa.
  15. Makisha

    (Maoni) Kwanini tukimbilie kusema R.I.P kwa watoto hawa wasio na hatia??

    Wakuu habari za wakati huu. Naomba niwasilishe maoni yangu juu ya tukio hili la kuhuzunisha lililotukuta, nina huzuni kubwa toka nimesikia tukio hili nafsi yangu haina furaha kabisa. Kama mzazi nimejivika uhusika wa kifo cha watoto wale ikiwa kama mmojawapo ni wangu kweli maumivu yake...
Back
Top Bottom