nimeona lakini nikahisi uzushi ati . ile ndege imemponzamiss chagga njoo huku utapitwa
sasa na ule umeme hataleta tena nnnimeona lakini nikahisi uzushi ati . ile ndege imemponza
Sijaona mantiki ya hoja yakoHorror thursday kwa sisi tunaochukia ccm
una nyingine nyingi uletea
lini ulisema?MIE nilisema,kufumua Dar kuweka miundo mbinu,
ni expensive process,
wangejenga mji mpya waweke kila kitu
,
Automatically watu watahama Dar na kuufuata huu mji mpya.
lini ulisema?
DAR ES SALAAM: Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima lililopo karibu na Barabara ya Morogoro eneo la Mbezi Inn limebomolewa
Updates to follow