Ungejiongeza kwa kumakribisha sehemu nyingine tulivu kabisaaa na sio nyumbani... though naelewa labda ulikuwa unataka kuwa maisha mazuri uliyonayo sasa...but kumkaribisha nyumbani maankr bado unahitaji connection kutoka kwao
Hata mm nimegundua Hilo jinsi anavyosema binti yetu...mwanetu...mtt wetu wakati wengi wakitendwa hawatumia nafsi ya wingi....huwa ni uumoja tu...kama mtt wangu...binti yangu...mm nammshauri akilongwa aruhusu hy baba awa karibu nao kwisha habari yake yani ndo utarudi nyuma haswa...mtt atatoka...
Ndio maana mm nimmetoka kupiga stop mzinguaji mmoja asinitafute kwa njia yyt Ile yani nimemwambia Fanya kama hatukuwahi kujuana.....Sina muda wa lupoteza kwa wazinguaji
Habari ndungu zangu,nimejaribu kupost hi post kwenye jukwaa la dini lakini nimeambiwa "Sina enough permission to post only members" naombeni mwenye kujua majina ya nyimbo za katoliki au link ninayoweza kupata hizo nyimbo
Nawashukuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.