6Minimum inatakiwa miez mingap?
Hahahhahahhahahha ulivyojibu utadhani umeulinzwa as individualHata najua basi, ngoja waje wajuvi wa hayo mambo mkuu







Acha kumtisha mwenzio..maisha ya ndoa hayana formula..wapo waliokuwa na uchumba sugu wanalia na wapo waliokaa muda mchache wana furaha....and vice versaBaada ya miezi kadhaa uje hapa unalia. Huo ni mhemko tu mapenzi ya awali. Chunguzaneni kwanza kila mmoja ajue na mapungufu ya mwenzake na kama anaweza kuyavumilia au la. Hapo kila mmoja atakuwa na maamuzi sahihi kutambulishana au la.
Hahaha we nibanie tukagugo bhna