UCHUMBA: Naomba ushauri hatua za kufuata

UCHUMBA: Naomba ushauri hatua za kufuata

Kila familia inataratbu zake yeye afate za kwao
 
Toa taarifa kwa upande wa wazazi wako kwamba siku fulani ( 06 - novemba - 2017 ) nahitaji kuja kumtambulisha mchumba wangu, ili familia yenu ipate kujiandaa halafu siku hiyo hakikisha unaenda na zawadi nyumbani pamoja na huyo mchumba wakk aende na zawadi ila kumbukeni kuvaa mavazi ya heshima na kupendeza muende kwa wakati muafaka ukamtambishe mchumba wako.
Over...
 
Dar??? Afu mmefahamiana miezi 3 tu???

Be serious brother wadada wa dar sio wa kukimbilia kama wa bush baby, angalia usije uziwa mbuzi kweny gunia mkuu,..

Ndo mnakamilisha mishe then yanaibuka ya kuibuka utafyata mkia si mchezo.
 
Baada ya miezi kadhaa uje hapa unalia. Huo ni mhemko tu mapenzi ya awali. Chunguzaneni kwanza kila mmoja ajue na mapungufu ya mwenzake na kama anaweza kuyavumilia au la. Hapo kila mmoja atakuwa na maamuzi sahihi kutambulishana au la.
Acha kumtisha mwenzio..maisha ya ndoa hayana formula..wapo waliokuwa na uchumba sugu wanalia na wapo waliokaa muda mchache wana furaha....and vice versa

Hata wangedate miaka 10 mbuzi hawezi kugeuka kuwa kondoo...muhimu ni makubaliano yao......

kwa vile hajalazimishwa basi atakuwa responsible na maamuzi yake kwa 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom