Msaada wa ushauri katika hili; Blind decision

Msaada wa ushauri katika hili; Blind decision

Dont make that mistake ya kuwa karbu naye, Kama ni mtoto atamuona kwa nafas ya baba lakin usjarbu kumkarbisha katika maisha yako tena
 
Kiukweli Mimi na ukristo wangu ningempotezea otherwise nisikie anaumwa ndo ningemsaidia shetani ni shetani tu dunia ni zaidi ya university mwache amalize course yake kiukweli just move on abaki kuwa baba mtoto tu
to be honest i like your comment......let him be in that tuition hell
 
Dont make that mistake ya kuwa karbu naye, Kama ni mtoto atamuona kwa nafas ya baba lakin usjarbu kumkarbisha katika maisha yako tena
ok darling i dont have any feelings for him any longer
 
Nilipo maliza kisoma huu uzi, nikagundua kwamba bado unampenda sana huyo mzazi mwenzio.
Nihilo tu kwa leo
Hata mm nimegundua Hilo jinsi anavyosema binti yetu...mwanetu...mtt wetu wakati wengi wakitendwa hawatumia nafsi ya wingi....huwa ni uumoja tu...kama mtt wangu...binti yangu...mm nammshauri akilongwa aruhusu hy baba awa karibu nao kwisha habari yake yani ndo utarudi nyuma haswa...mtt atatoka shule ya Daimond school mpaka shule ya msingi Kalaroho
 
Asante Sana.. Ushaur huu nitaufanyia kazi mapema Sana coz I'm tired na usumbufu wao kwasababu mara ya kwanza mshenga wake aliponipigia simu na kuhitaji kuniona nlimkaribisha nyumban so anapajua na wamekuwa very excited kujua ni wapi nafanyakazi lkn sikuwaonyesha.. Barikiwa kaka yangu
Ungejiongeza kwa kumakribisha sehemu nyingine tulivu kabisaaa na sio nyumbani... though naelewa labda ulikuwa unataka kuwa maisha mazuri uliyonayo sasa...but kumkaribisha nyumbani maankr bado unahitaji connection kutoka kwao
 
ok darling i dont have any feelings for him any longer
Thats Great Mama, Ulishamove on na maisha yako na uendlee na hilo, Nafas yake kama Baba itabakia ila Otherside of the story uendlee na maisha yako mama.
NB. Nmeona picha ya binti umeipost kama ungeweza ungeitoa tu maana hujamtendea haki na privacy yake.
 
Hata mm nimegundua Hilo jinsi anavyosema binti yetu...mwanetu...mtt wetu wakati wengi wakitendwa hawatumia nafsi ya wingi....huwa ni uumoja tu...kama mtt wangu...binti yangu...mm nammshauri akilongwa aruhusu hy baba awa karibu nao kwisha habari yake yani ndo utarudi nyuma haswa...mtt atatoka shule ya Daimond school mpaka shule ya msingi Kalaroho
and thats your thoughts by the way asanten kwa ushaur wenu na muda wenu
 
Ungejiongeza kwa kumakribisha sehemu nyingine tulivu kabisaaa na sio nyumbani... though naelewa labda ulikuwa unataka kuwa maisha mazuri uliyonayo sasa...but kumkaribisha nyumbani maankr bado unahitaji connection kutoka kwao
thank you darling.......
 
Thats Great Mama, Ulishamove on na maisha yako na uendlee na hilo, Nafas yake kama Baba itabakia ila Otherside of the story uendlee na maisha yako mama.
NB. Nmeona picha ya binti umeipost kama ungeweza ungeitoa tu maana hujamtendea haki na privacy yake.
gat you also on this
 
Kuna kitu huwa watu wanafanya na kukosea. Mpenzi aliyekuacha kwa masimango na dharau tena kwa wakati ambao ulikuwa unamhitaji kabisa halafu unakuja kumrudia. Umesema ni miaka saba tangu akuache. Wewe unaengemea mtoto, lakini yeye kikubwa anataka mrudiane kwa sababu tu mambo yako ni mazuri huku kwa upande wake ikiwa tofauti.

Ushauri wangu
Kupitia huyo mshenga mwambie umemsamehe lakini kurudiana NO. Mambo ya mtoto husiwe hata siku moja ukamruhusu kuja nyumbani kisa kumsalimia mtoto. Itakuwa ni kosa moja kubwa. Nina ushahidi na watu kama watatu wenye kesi kama ya kwako. Wamerudiana kisha mapenzi leo wawili washaachana na moja kila kukicha kesi
 
19/02/2009 saa sita usiku baba wa mtoto wangu (hatukuwa tunaishi pamoja) alinieleza kwa simu kuwa hanihitaji tena na ile barua ya posa alotoa tuisahau na maelezo juu ya malezi ya mwanetu akasema yeye anao watoto wengi so huyu mmoja hana shida nae

NAMNUKUU
: "Nina watoto watano huyo mmoja nakushauri katafute mwanaume yeyote asiye na uhakika wa kizazi chake mpe kama zawadi". hapo binti yetu alikua na umri wa mwaka mmoja na miezi mitano. After that phone call hakuonekana tena mpk baada ya miaka miwili aliporudi na kuomba radhi kwamba mambo yake hayaendi sawa na anahisi labda nimemuwekea kinyongo ndio maana anazidi kushuka kimaisha.

I told him the truth that yes niko na maumivu because of ugumu wa maisha and yet im still lonely with no other income but mimi sio nliokufungia riziki and if your apologies comes from your heart then go with Peace ila kama ni dhihaka na majaribio kwa mungu you will find a lot of problems in your plate.

Aliondoka na hakugeuka nyuma, i suffered alot enough to poison myself with any kind of harms. nliamua kufanyakazi za ulinzi na kufanikiwa kupata lindo moja zuri ktk kampuni moja hapa dsm.

Japokuwa ilinibidi kupitia mapito mengi magumu ili kukidhi mahitaji ya mwanetu ikiwemo shule, pango,kula na matibabu (baba yake ni manager máhusiano ttcl) nlilala na wanaume tofauti ili kupata mahitaji ya binti yetu (nashukuru mungu alinilinda na maradhi).

Ndugu zake na baba yake waliingilia kati hili jambo lkn kwakuwa walimtegemea sana ndugu Yao kimaisha(maana ndiye aliyekuwa na uwezo) ilibidi washindwe kumkosoa deeply kwa hili so namimi nlikata tamaa kupata msaada wowote kutoka kwao.

After almost seven years since he abonden us huku nkiwa ktk hiyo kampuni ya ulinzi(nlikua nkisoma pia na kufanikiwa kupata diploma) nkabahatika kupata ajira ktk international organization(Diplomatic mission) hivi sasa npo kzn kwa miezi nane na binti yetu yupo Diamond primary school sasa (drs la tatu) yule mzazi mwenzangu kumbe alikumbwa na kashfa ya kukopa hela ktk mabenki mengi pamoja na mikopo binafsi ya riba na kushindwa kulipa sasa amesimamishwa kazi na wanataka kutumia mafao yake kulipa madeni hayo huku wadai wengine wakitangaza mali zake alizoweka rehani kuuzwa minadani kama fidia ya madeni Yao (kwakweli hili linaniuma hasa coz ana watoto).

Amesikia kuwa nina kazi nzuri na binti sasa anaishi nakusoma vizuri than alivotuacha ktk kachumba kasiko na umeme wala sakafu. Amemtuma mshenga wetu eti anitafute na atukalishe chini coz amegundua kosa lake na yupo tayari kutubu maisha yaendelee.

Swali langu kwenu ndugu zangu.

1.Nikimchunia ntahukumiwa na binti yetu kweli maana all i care is about our daughter and not him.

2. Kwa mfano akiniomba hela nkampa je hawezi niloga huyu kweli (kutokana na roho yake aliyoionyesha kwanzaa)
As am a gentleman,pole sana na HONGERA FOR BEING REAL MOTHER TO YOUR DAUGHTER.

USHAURI:
1.forgive but never forget their name
- Tabia ya MTU huunganika na roho,na hujulikana pale anapofanikiwa(kama alikutendea alikuwa na uwezo wa kukushika mkono LAKINI alikuacha,WEW MSHIKE MKONO LAKINI USIZIDI UWEZO WAKO na kamwe usimsaidie zaid ,na zaid na zaid ili tuuu eti ajisikie vibaya kisaikolojia)
2.Repeatable mistake is staying down mistake
-Kaa chonjo na route za kuja kwako,au kuja kumuona mtoto,au mutoke Outings kuhusu maongez ya mtoto,au kukuelezea drama na fake stories abt lives he faced on,KWASABABU HAYO YATAYUMBISHA MSIMAMO WAKO KIMAISHA FOREVER,nasema tena FOREVER,FOREVER,....

NB:BEFORE RUNNING FROM SOME1,REMEMBER SOME1 SAVED YOU WHILE THE REST MADE EXCUSES.
 
Kuna kitu huwa watu wanafanya na kukosea. Mpenzi aliyekuacha kwa masimango na dharau tena kwa wakati ambao ulikuwa unamhitaji kabisa halafu unakuja kumrudia. Umesema ni miaka saba tangu akuache. Wewe unaengemea mtoto, lakini yeye kikubwa anataka mrudiane kwa sababu tu mambo yako ni mazuri huku kwa upande wake ikiwa tofauti.

Ushauri wangu
Kupitia huyo mshenga mwambie umemsamehe lakini kurudiana NO. Mambo ya mtoto husiwe hata siku moja ukamruhusu kuja nyumbani kisa kumsalimia mtoto. Itakuwa ni kosa moja kubwa. Nina ushahidi na watu kama watatu wenye kesi kama ya kwako. Wamerudiana kisha mapenzi leo wawili washaachana na moja kila kukicha kesi
Asante darling.. Nmeshamwambia mshenga wake afanye mpango tuonane then tupange appointment ya kukutana nae kwa kumaliza hii mess
 
Kama mwanaume nakuambia hivi:

Usimfuatilie kabisa.
Usimpe hata shilingi.
Mwanao akikua akitaka kwenda kwa baba yake, mruhusu tu; otherwise msahau kabisa.
Usije ukarudia kujiambia tena kwamba unamsaidia kwa ajili ya mwanao; thats bullshit.
Hamna malipo yoyote duniani. Hivyo kuwa makini na maamuzi.
 
Hilo linategemea na uwezo wako kama utaamua kumsaidia,it's better kumpatia mtaji akaendelea na maisha yake.
(Pesa sijui inanini mpaka inatia watu uchizi)
 
Msaidie tu,mana maisha ni haya haya.
 
Ushauri wangu uko hivi:-

1) Never put temporary people in the permanent place of your life.

2) Never hesitate to remove the wrong people from right place of your life.

3) Be strong and bold in important decisions about your life and family.
The best advice of the day. Big Up Brother...!!!
 
Back
Top Bottom