Recent content by Makebo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka MV Bukoba basi hapa Tanzania msitake sifa hapa JF

    umepigaje hapo ?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuingia mbingu ipi? Firdaus au paradiso ya milele?

    Akili za kimasikini zinawaza kuna sehemu akifa anaenda kuwa tajiri
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    leta hapa kifungu cha sheria kinachotoa adhabu ya jela kwa kushindwa kulipa deni
  4. M

    JamiiForums Tanzania THE GOAT WHO STOOD FIRM: Nguvu ya Simba, Ukaidi wa Mbuzi

    Msiongee tu bure muende sasa mkatume ujumbe mfupi au mjengeo ubalozi wa Uholanzi ili ashinde tuzo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Hii itakuwa baada ya kuanza kuweka picha za mavi kila mada, hata mimi ulinivurugia appetite ya kula hiyo siku
  6. M

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Watu wanaopinga Mkwawa hakuwa muislamu ni vizuri walete takwimu za watu mji wa kalenga ni wa dini gani tokea enzi za ukoloni mpaka leo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Kumbe bingwa wewe ni festi boni basi umecheza sana, ulitakiwa uwe Raisi wa nchi muda huu, kama Endru Bush
  8. M

    JamiiForums Tanzania Sisi Wayebusi ni jamii ambayo Serikali haitutaki kabisa na Jamii haituelewi hata kidogo

    Vijana wa siku hizi wameharibiwa sana na chipsi mayai na soseji Wengine wanakula mpaka sotojo, ni hasara tupu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya kijamii ndio uhalisia wa maisha ya Watanzania. CCM imekataliwa na Watanzania

    Acha uongo wa kirejareja, hapa ni JF, sio kijiweni kwenu huko Kama unaleta taarifa ya idadi, au uchambuzi leta na takwimu au utafiti Hizi hapa takwimu za matumizi ya mitandao ya kijamii Na huko sio wote wanaoshiriki wanaakisi huu upupu ulioandika hapa, kwa maana sio wote wana misimamo sawa ya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Tuliza wenge Wewe ni kutoka royal family, na ishi kama royal family Nina uhakika wewe kama wewe, ukiamua kuwa winga, basi utakuwa milionea kwa access utakazo wapa watu wenye hela kufikia viongozi wahusika kwenye kukamilisha miradi mikubwa mikubwa kwa maendeleo ya nchi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    he jumped..........
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mdada akiwa anakuangalia sana huku anajichekesha anamaanisha nini?

    Anakucheka huna hela, utakaaje kwenye genge la matunda kihasarahara
  13. M

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    Huu ndio tunaita kuuingiza udini na ulokole kwenye siasa unasababisha kukosa mwamko kwa watanzania kusapoti upinzani hasa chadema mmeingiza udini mwingi kwenye chama tokea Mbowe aondoke. Kwani huwezi kutoa hoja bila kuingiza ugalatia wakati hili suala la kisiasa ?
  14. M

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    Huo ujumbe wa Lissu mbona ni general concerns of his well being kwa kuwa muda mrefu gerezani ambao unaweza kuchangia kuzorota kwa afya yake. Hakuna sehemu imeandika kama ni immediate risk of harm from potential instigators au mpango mahsusi wa kumdhuru. Kama wangekuwa wanataka kumdhuru mbona...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Houthis yalipua matenki mafuta ya ARAMCO, Saudia

    Karibu sana Mkuu Nitajibu hapa hapa, kwakweli sina muda wa kuanzisha thread samahani Wewe unajua funders wa Al Qaeda na Taleban miaka yote walikuwa wananchi wa nchi gani ? Hili liko wazi hata serikali ya US inajua, na kuna kesi lukuki zimefunguliwa na wananchi wa US waliopoteza ndugu zao katika...
Back
Top Bottom