Acha uongo wa kirejareja, hapa ni JF, sio kijiweni kwenu huko
Kama unaleta taarifa ya idadi, au uchambuzi leta na takwimu au utafiti
Hizi hapa takwimu za matumizi ya mitandao ya kijamii
Na huko sio wote wanaoshiriki wanaakisi huu upupu ulioandika hapa, kwa maana sio wote wana misimamo sawa ya...
Tuliza wenge
Wewe ni kutoka royal family, na ishi kama royal family
Nina uhakika wewe kama wewe, ukiamua kuwa winga, basi utakuwa milionea kwa access utakazo wapa watu wenye hela kufikia viongozi wahusika kwenye kukamilisha miradi mikubwa mikubwa kwa maendeleo ya nchi
Huu ndio tunaita kuuingiza udini na ulokole kwenye siasa unasababisha kukosa mwamko kwa watanzania kusapoti upinzani hasa chadema mmeingiza udini mwingi kwenye chama tokea Mbowe aondoke.
Kwani huwezi kutoa hoja bila kuingiza ugalatia wakati hili suala la kisiasa ?
Huo ujumbe wa Lissu mbona ni general concerns of his well being kwa kuwa muda mrefu gerezani ambao unaweza kuchangia kuzorota kwa afya yake.
Hakuna sehemu imeandika kama ni immediate risk of harm from potential instigators au mpango mahsusi wa kumdhuru.
Kama wangekuwa wanataka kumdhuru mbona...
Karibu sana Mkuu
Nitajibu hapa hapa, kwakweli sina muda wa kuanzisha thread samahani
Wewe unajua funders wa Al Qaeda na Taleban miaka yote walikuwa wananchi wa nchi gani ?
Hili liko wazi hata serikali ya US inajua, na kuna kesi lukuki zimefunguliwa na wananchi wa US waliopoteza ndugu zao katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.