Nyie genzii mnahitaji matambiko
Kuna wale waliwekewa viti wakae wasubiri wakaamua kutangantanga, eti hawataki kuwekwa kama mifugo sehemu moja, kumbe walikuwa wanachorwa kwenye makamera,
Wakaenda kufunga milango, walioko nje ndio imetoka wakaambiwa wapotee, waliobaki ndani wakaendelea na usaili.
Msomi kumbe bado hujapevuka
Unatumia hisia zaidi kujibu kuliko uhalisia
Taasisi za kidini zimefanikiwa katika kutoa elimu sababu zinaspaoti ya serikali yoyote duniani iwe africa au Ulaya.
Na zinakuwa na exemption kubwa sana ya kodi katika sekta ya kutoa elimu ili serikali yoyoyte ifikie lengo la...
Bado hio sio reliable source msomi
Hakuna infrastructure behind his claim, na hakuna proof zaidi ya sura yake na ya gari
Unakumbuka yule Mzimbabwe alisema anatengeneza gari sijui zinatumia microsonic device, kiko wapi ?
Maxwell Sangulani Chikumbutso
Duh!
Hio mimba changa itatoka chooni ukichutama kwa hili povu dada
kula udongo na malimau upunguze munkari, na kwanza wewe ni mdada umeshindwa kutumia asseti ikupe kazi unnaishia kuwekwa na jitu lina godoro na ndoo mbili
Ukishazaaa, hizo warsha wala usiende kama lugha haipandi, mule huwa...
Hamna bana
vyanzo vyote vinatoka fecibuku na insta na mijengeo ya AI
Hakuna hata website inayoonyesha zinavyotengenezwa viwandani wala yeye au mlokole mwenzake akiiendesha
Unatuangusha msomi wa gesi na mafuta
Hao wanaendeshwa na hisia badala ya uhalisia
Na wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa siasa mitandaoni badala ya kutafuta networking
Mtu kutwa kumfatilia mange, maria na kina sativa badala ya kujiunga LinkedIn kutafuta networking ya watu waliosomea taaluma yako
Halafu wana makasiriko na matusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.