Recent content by Makebo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kariakoo sio sehemu salama. Wengi mnapasifu mnapata vihela

    Walugaluga mmetuharibia mji, ni wakati muafaka sasa mrudi kwenu maporini Before Then Now
  2. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Kiukweli wazanzibari walikuwa wameka kimya muda mrefu sana Wamevumilia sana huku watanganyika wakileta kidomodomo tokea enzi za Mwinyi, mara tunataka serikali tatu sijui mara serikali moja, Na wakaanza mbona tunanyimwa kazi Zanzibar, na fursa za kitalii zilivyokuja wakaachia uhuru kwa yeyeto...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Wewe akili kisoda pita kule Badala ya kujibu nilichouliza unawangawanga ndio ujinga wa elimu yenu ya kibongo, na ndio maana hamuajiriki nje ya nchi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Tungependa sana kuona hio mikataba ya ulaya ili tujidhihirishe kuwa ya kwetu tunapigwa Kung'ang'ania yetu tunapigwa bila ushahidi ni kubwabwaja tu kama tuko kijiweni Na hakuna sehemu inasema somaliland wamevunja mkataba na DP world, na nitakuja na maelezo zaidi kwanini Djibouti walivunja mkataba.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Huko unakoishi kwenye hifadhi ya taifa ya wanyamapori
  6. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Angalia mbulula mwingine huyu Umejibu nilichouliza au unabwabwaja tu? Leata hapa hiyo mikataba ya wazungu unayosema ina maslahi kuzidi ya bongo, acha kulopolopo
  7. M

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za Mwanza, hususan Nyamagana hazina hadhi ya Jiji

    Ulimg'hola dada Mola sana getegete
  8. M

    JamiiForums Tanzania Israel imeanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran muda huu

    Wewe pumbavu unaenda kuleta vipicha vya mitandani Leta hapa live matukio kama unavyoyapata ya Iran waves https://www.youtube.com/watch?v=WRwd5gUjGe0
  9. M

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kariakoo yapo usiku wa manane tu, mchana hutayaona utadalaliwa tu

    Kwa wale mnaoiishi maporini, hii ndio Kariaako
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimechelewa kumaliza , nilikunywa pombe demu nikamliza

    Haya baada ya kupiga vitatu mfululizo uligundua nini zaidi ya kuongeza nguvu ya harufu ya pombe, kikwapa na kisamaki chumbani?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msikilize/ mtazame Fatou Bensouda akizungumzia jinsi vikwazo alivyowekewa na Marekani vilivyoathiri maisha yake na familia yake

    Ni vitu viwili tofauti Huyu mama anaishi ulaya na anafanya kazi kwa wazungu, lazima aminywe, na kuongezea, ameminya zaidi kwa uweusi wake na sio vikwazo, sababu akijitutumua wanaachia, huu ni ubaguzi wala sio vikwazo Na tukirudi huku kwetu, Makonda juzi alikuwa Morocco, kwa nini vikwazo...
Back
Top Bottom