Recent content by Makebo

  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni Star Employment Service TZ nirejesheeni 11.2M nilizowapa mnitafutie ajira nje

    Aisee Yani alikuwa German halafu anamtafuta mtu yuko bongo amtafutie kazi Germany Kweli uchawi upo
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Ina maana huyo bodaboda kaitwa kazi lakini kakuta hakuna pikipiki?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Mmepigiwa igizo lililopangwa
  4. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Nyie genzii mnahitaji matambiko Kuna wale waliwekewa viti wakae wasubiri wakaamua kutangantanga, eti hawataki kuwekwa kama mifugo sehemu moja, kumbe walikuwa wanachorwa kwenye makamera, Wakaenda kufunga milango, walioko nje ndio imetoka wakaambiwa wapotee, waliobaki ndani wakaendelea na usaili.
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    wakati wa christians ndio upi huo wewe mbulula Hakuna hata msalaba humo ndani, wewe kila ukiona ngozi nyeupe unajua ni mlokole mwenzako
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi matapeli wa mjini wanavyotumia "harusi" kupiga pesa; inauma sana

    Mbona hii mbinu ni ya kizamani sana Jack Pemba mimi namjua tokea utotoni tunaishi nae Upanga, na hii ndio njia ilimpatia nauli ya kwenda UK.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Msomi kumbe bado hujapevuka Unatumia hisia zaidi kujibu kuliko uhalisia Taasisi za kidini zimefanikiwa katika kutoa elimu sababu zinaspaoti ya serikali yoyote duniani iwe africa au Ulaya. Na zinakuwa na exemption kubwa sana ya kodi katika sekta ya kutoa elimu ili serikali yoyoyte ifikie lengo la...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Bado hio sio reliable source msomi Hakuna infrastructure behind his claim, na hakuna proof zaidi ya sura yake na ya gari Unakumbuka yule Mzimbabwe alisema anatengeneza gari sijui zinatumia microsonic device, kiko wapi ? Maxwell Sangulani Chikumbutso
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa 31–36 walisoma sana lakini wamechelewa kuwa wajanja wa maisha muda sio mrefu mfumo unawatema

    Duh! Hio mimba changa itatoka chooni ukichutama kwa hili povu dada kula udongo na malimau upunguze munkari, na kwanza wewe ni mdada umeshindwa kutumia asseti ikupe kazi unnaishia kuwekwa na jitu lina godoro na ndoo mbili Ukishazaaa, hizo warsha wala usiende kama lugha haipandi, mule huwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Hamna bana vyanzo vyote vinatoka fecibuku na insta na mijengeo ya AI Hakuna hata website inayoonyesha zinavyotengenezwa viwandani wala yeye au mlokole mwenzake akiiendesha Unatuangusha msomi wa gesi na mafuta
  11. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Hata wewe msomi elinasi unaokoteza upupu mitandaoni ? Kweli hii ni majanga
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa 31–36 walisoma sana lakini wamechelewa kuwa wajanja wa maisha muda sio mrefu mfumo unawatema

    Hao wanaendeshwa na hisia badala ya uhalisia Na wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa siasa mitandaoni badala ya kutafuta networking Mtu kutwa kumfatilia mange, maria na kina sativa badala ya kujiunga LinkedIn kutafuta networking ya watu waliosomea taaluma yako Halafu wana makasiriko na matusi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Land Rover Discovery

    Gari ya Yesu hio Ila hakupenda kujitamba kama wakulungwa humu John 12:49, where Jesus says, "For I wish not to speak of my own Accord"
  14. M

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina akata pumzi kisiasa

    Baada ya hizo mbili tunasubiri na ya juma1967
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kumbe inawezekana kujenga barabara kutoka Zanzibar kuja Tanzania Bara?

    Wazenji walishasema watali isis hilo daraja
Back
Top Bottom