Recent content by Makebo

  1. M

    Tugawane nchi katikati

    Sheria za kimataifa lazima ziheshimiwe Angalia Ethiopia li nchi likubwa linavyonyanyaswa na ka Eritrea kwenye bahari, kila siku anatakuanzisha vita
  2. M

    Tugawane nchi katikati

    Na ushuru wa kutumia bandari itakuwa ni mauaji labda mtumie ya Msumbiji
  3. M

    Mabadiliko ya Teknolojia na Nafasi ya AI katika Software Development.

    Msikilize Nabii wa AI anaitwa Roman Yampolskiy Hakuna mwisho mzuri na hii AI https://www.youtube.com/watch?v=UclrVWafRAI&t=1s
  4. M

    UAE; Kulindwa na Air-Defence za Israel

    Unatakiwa uwe yule ambae hujui chochote kuhusu IT Networking Infrastructure ili ukubali kuamini na kulimeza tango la eti Israel alihack CCTV za Tehran ili kumuua Atatollah Huo ni uwongo ambao Israel ameubumba ili aonekane yeye ndio alifanikisha huo mpango, uwongo mtupu Kila kitu kilifanywa na...
  5. M

    Tila tila ndio mpango mzima kwa wadada sasa hivi, kila mmoja wao anapenda kuwa nayo

    Tayari mada za machoko zimeaanza Naona wamejazana humu kuaanza kigodoro
  6. M

    Siri imefichuka kampuni ya China Hesda Co. Kuuza vifaa vya kijeshi iran!!

    Mzigo kila siku unaingia kutoka Russia
  7. M

    Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Wazungu wa South Africa, wameamua kuwashughulisha wazawa na kupambana na weusi wenzao kama chanzo cha umasikini wao, ili wasahau kuwa wazungu bado wanamiliki kuanzia kazi, ardhi na uchumi na ukwasi kushinda weusi ili wazawa wasiaanze kuwashughulikia. Julias Malema alikuwa anawalaza na viatu na...
  8. M

    Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Huu mpango unafadhiliwa na rangi nyeupe kupitia misaada kutoka US na Israel
  9. M

    Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Mkaazi wa dunia ya tatu hutaelewa na hautakuja kuelewa Toka huko maporini zunguka dunia
  10. M

    Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Ni hivi Baada ya South Africa kuifungulia mashtaka Israel katika Mahakama ya dunia hapo ndio matatizo yote yalipoanzia. Muda si mrefu Elon Musk aliianza kutupiana maneno na wanasiansa wa South Africa, haijapita muda Trump akaingilia na kuanza kusema wazungu wanauliwa na kunyanyaswa. Ukasukwa...
  11. M

    Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Dada Marry Diana Kuna huyu mpumbavu na bwabwa mmoja anawashwawashwa anaitwa choko ELI COHEN alikufunglia uzi kuwa una njaa sana, Pole sana Ila mimi nashindwa kukutetea sababu unaweza kuwa njemba fulani hata wewe, au hii pia ni ID yake, hebu uje ukanushe mwenyewe inbox, nianze kumvuruga humu...
  12. M

    Tugawane nchi katikati

  13. M

    Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Duh Nyinyi wasomi wa mfumo wa nacte Kweli hii elimu majanga
  14. M

    Aibu nzito kwa Boni Yai akiwa Bagamoyo

    kitendo cha kuvaa kanzu na baragashia kwa kuwa ameenda sehemu ya waislamu ni upumbavu unaofanywa na wagalatia vilaza
  15. M

    Simba SC tuliuchafua Kishirikina kati ya mwaka 2012 hadi 2020 na Yanga SC wameuchafua mno Kishirikina kati ya mwaka 2021 hadi leo hii 27/4/2026

    Naona kapotezwa safi kabisa vitoto vijinga vinavyoishi kwa shemeji vimekuwa vingi humu,
Back
Top Bottom