Kiukweli wazanzibari walikuwa wameka kimya muda mrefu sana
Wamevumilia sana huku watanganyika wakileta kidomodomo tokea enzi za Mwinyi, mara tunataka serikali tatu sijui mara serikali moja,
Na wakaanza mbona tunanyimwa kazi Zanzibar, na fursa za kitalii zilivyokuja wakaachia uhuru kwa yeyeto...
Tungependa sana kuona hio mikataba ya ulaya ili tujidhihirishe kuwa ya kwetu tunapigwa
Kung'ang'ania yetu tunapigwa bila ushahidi ni kubwabwaja tu kama tuko kijiweni
Na hakuna sehemu inasema somaliland wamevunja mkataba na DP world, na nitakuja na maelezo zaidi kwanini Djibouti walivunja mkataba.
Angalia mbulula mwingine huyu
Umejibu nilichouliza au unabwabwaja tu?
Leata hapa hiyo mikataba ya wazungu unayosema ina maslahi kuzidi ya bongo, acha kulopolopo
Ni vitu viwili tofauti
Huyu mama anaishi ulaya na anafanya kazi kwa wazungu, lazima aminywe, na kuongezea, ameminya zaidi kwa uweusi wake na sio vikwazo, sababu akijitutumua wanaachia, huu ni ubaguzi wala sio vikwazo
Na tukirudi huku kwetu, Makonda juzi alikuwa Morocco, kwa nini vikwazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.