Unatakiwa uwe yule ambae hujui chochote kuhusu IT Networking Infrastructure ili ukubali kuamini na kulimeza tango la eti Israel alihack CCTV za Tehran ili kumuua Atatollah
Huo ni uwongo ambao Israel ameubumba ili aonekane yeye ndio alifanikisha huo mpango, uwongo mtupu
Kila kitu kilifanywa na...
Wazungu wa South Africa, wameamua kuwashughulisha wazawa na kupambana na weusi wenzao kama chanzo cha umasikini wao, ili wasahau kuwa wazungu bado wanamiliki kuanzia kazi, ardhi na uchumi na ukwasi kushinda weusi ili wazawa wasiaanze kuwashughulikia.
Julias Malema alikuwa anawalaza na viatu na...
Ni hivi
Baada ya South Africa kuifungulia mashtaka Israel katika Mahakama ya dunia hapo ndio matatizo yote yalipoanzia.
Muda si mrefu Elon Musk aliianza kutupiana maneno na wanasiansa wa South Africa, haijapita muda Trump akaingilia na kuanza kusema wazungu wanauliwa na kunyanyaswa.
Ukasukwa...
Dada Marry Diana
Kuna huyu mpumbavu na bwabwa mmoja anawashwawashwa anaitwa choko ELI COHEN alikufunglia uzi kuwa una njaa sana, Pole sana
Ila mimi nashindwa kukutetea sababu unaweza kuwa njemba fulani hata wewe, au hii pia ni ID yake, hebu uje ukanushe mwenyewe inbox, nianze kumvuruga humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.