Msituhamishe kwenye maaada mtuambie kwa nn ukurupukaji wenu umetutia hasara kubwa kiasi hiki yaani 87billion kizembe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuibuliwa kwa ukurupukaji wa mh sana, naona kuna haja CCM watumie busara na uzalendo wakalipe hizo billioni 87 kutoka kwenye chama ili tuukubali uwajibikaji wao. Nawasilisha hoja wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu umetoa maelezo mazuri mno na inaonekana ni mtaalam sana na ulistahili kuwa kwenye kamati kuliko hata hao maprofesa. Big up broo asiekuelewa sasa ni mburura wa kisiasa na kesho atakuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.