Si dhambi watoto wa vigogo kufanya BOT,je,CV inatosha?wanahaki ya kuomba na kufanya kazi popote kulungana na taratibu na sifa tajwa,mbona wapo wenzao waliondolewa CV hazikutosha
Askofu kwa kweli sisi tunaona aibu,kumbe ukiwa na shida Lowasa anafika haraka?mmmh,unazungumzia mwenzako amezaa nje je wewe ni msafi kiasi cha kuwa wa kwanza kumrushia jiwe?Mungu akupe hekima i pray
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.