Recent content by makajembe

  1. M

    Napata tabu kusikia kuwa kuna mwanachama wa CHADEMA anajiunga CCM

    Yaani mnatia huruma kusoma hamjui hata picha hamuoni,jitu linatanua na pesa za kifisadi mmemganda tu mkoje?
  2. M

    Watoto wa vigogo na ajira BoT

    Si dhambi watoto wa vigogo kufanya BOT,je,CV inatosha?wanahaki ya kuomba na kufanya kazi popote kulungana na taratibu na sifa tajwa,mbona wapo wenzao waliondolewa CV hazikutosha
  3. M

    GE2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Hata hivyo ikibidi kuna wakalimani mbona sio point hiyo ya kumdiscredit
  4. M

    Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

    Hilo chaka,kuna wabunge,wabunge ndio wako katika kuusaka huo ubunge,jamani
  5. M

    Magufuli anafaa,Ingekuwa ni kumwaga zege

    Sio suala la ulemavu ni kuwa na afya njema
  6. M

    "Nyongeza ya mshahara: Siri yafichuka" Watumishi wa Umma Msilalamike

    walimu ni vituition vyenu,na michango ya test nk sie tunatoa tu,bado na seminar mnataka,
  7. M

    Magufuli: Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!

    Mmmh,kampeni hizi ni kwa ajili ya uchaguzi wa Tanzania hayo ya Libya,Kuwait kwa sasa si kipaumbele chetu,msitubadilishie mada
  8. M

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Askofu kwa kweli sisi tunaona aibu,kumbe ukiwa na shida Lowasa anafika haraka?mmmh,unazungumzia mwenzako amezaa nje je wewe ni msafi kiasi cha kuwa wa kwanza kumrushia jiwe?Mungu akupe hekima i pray
  9. M

    Muda wowote kuanzia sasa nitamshtaki Lowassa mahakamani

    Tunahitaji utulivu na amani
  10. M

    Sumaye: Nimenunua shamba kwa kiinua mgongo changu

    Tueleze Sumaye umenunua pori au mashamba ya wanyonge?ili tujue kama wanaokusema wako sahihi au kulikoni?
  11. M

    Ile ahadi ya Maisha bora kwa kila mtanzania CCM hawathubutu kabisa kuikumbusha

    Yaani,fursa zipo huzitumii,unasubiri kunung'unika,yaani hakuna atakayekunyeshea mvua ya mafanikio,changamkia fursa
  12. M

    TCRA mpo? Naomba ufafanuzi kuhusu kipande kilichorushwa na Star Tv mara tu baada ya habari

    StatTv ni kituo binafsi unakipangiaje utendaji?kama hukipendi acha kuangalia mbona ziko nyingi?
Back
Top Bottom