Umeliandika neno "degree" mara nyingi saana,... Sasa ukitembea na hiyo degree utachelewa sana,.. Badilisha fikra ya kutafuta kazi,.. Sasa hivi tafuta pesa! Ukikubali kutafuta pesa, hiyo degree iweke pembeni kwa muda. Kitachotafutwa ni pesa na sio kazi ndg yangu
Mbuzi wangu ana miezi 10 tangu azae uzao wake wa mwisho,.. Ajabu ni kwamba ana mimba kubwa na ni wiki ya 3 sasa anaonyesha dalili za kuzaa lkn hazai na dalili zinapotea na kuanza tena,.. Nini kifanyike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.