Ukiona mbuzi anakenua meno si kwamba anafurahi bali anakaribia kukung'ata.
Usisubiri kung'atwa na mbuzi apo baadae chukua hatua kwa wepesi wewe ni mwanaume jasiri.
Mtu akiamua kufanya biashara endelevu atakua anapata 4,000*2 = 8,000 kwa siku
Kwa maana ni Tsh 240,000 kwa mwezi.
Sasa akitoa garama na muda wa usimamizi inabaki kiasi gani apo?
Na Mathalani akaifanya kwa miezi 12, atapata faida ya Tsh 2,880,000/=
Hii biashara kwa mwaka haiweza kukuza...
Nachokumbuka ni mzee kutaja tarehe ya kuustaafu kwake baada ya kutumikia miaka 40.
Alipata mafao yake lini na kiasi gani mpaka leo ni siri yake (nilikuja kuambiwa mbona mzee alishalipwa baada ya miezi kama 7 kupita)
Kikubwa nacho shukuru ana fixed deposit japo sijui ni kiasi gani (inaiva kila...
Mswahili kuna namna ataweka kauzibe na kaurasimu tu mchakato wa utoaji mizigo uonekane mgumu.
Labda asiwepo mswahili kitengo chochote maana hawachelewi kuchomoa hata waya ili mitambo isifanye kazi kwa wakati.
Kutokufanya maamuzi ni kosa kuliko kufanya maamuzi yenye makosa kwa sababu utajifunza. Umetambua wanakusema kwanini usimtafute mmoja wao akueleze shida ni nini.
Hakuna umoja kazini kwa watu weusi, licha ya kukusema ila wao kwa wao pia kijicho wanacho.
Mtafute mmoja atakupa ukweli wapi...
Kuna mtu kakuuza tayari. Ana taarifa zako za uhakika au makisio ya kipato chako.
Kachungulia kwenye kibubu kaona maokoto yapo, na uwiyano kati ya kuingiza na kutoa ni mdogo kaona akusaidie kutumia.
Hato kuacha salama!!
Punguza matarajio kutoka kwa watu na kusikiliza matarajio yao juu yako. Ikiwa umri unakutupa mkono (kwa mtazamo wa familia yako au pengine unadhani hivyo) jipe matumaini wakati wako bado na biidhnillah utafika wakati wako.
Unapofanya ibada, muombe Allah Akujaalia muongozo, kuridhika/kujizuia...
Tatizo ni mtu wa kukusikiliza na kukufariji tu?
Je ukikaa mwenyewe huongei kwa sauti na kujijibu?
Kutokana na hali ulionayo unapata maumivu ya kichwa upande mmoja?
Waliosema "Mchovya asali haonji mara moja" walifikiri na kuona mbali sana.
Wanahutaji elimu ya ziada ili kuhakikisha wanafanya maamuzi yenye msimamo. Kama shule au familia wachague moja.
Ukijaribu kuangalia maombi yako kwenye mfumo kupitia reference number inaonesha jibu gani?
Pili, Baada ya kupiga picha waliandika tarehe gani utegemee kukamilika kwa hati yako ya kusafiria?
Na ikiwa ofisa mmoja ananongwa, inawezekena ofisa mwingine akaifanyia kazi ombi lako. Tafuta ofisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.