Wafanyakazi wa Bandari mkae mguu sawa

Wafanyakazi wa Bandari mkae mguu sawa

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,065
Reaction score
3,844
Siungi mkono huu ubinafsishwaji ila ningependa kuwapa ukweli tu wafanyakazi wa Bandari kukaa mguu sawa wajue kuwa mambo yanabadilika huenda wengi wakakakutana na kitu ambacho hawakutarajia

Waarabu huwa wanamiliki makampuni tu sababu wana pesa ila kiutendaji Wazungu na wahindi ndio huwa wamewajaza kwenye makampuni yao na kama mnavyojua wazungu falsafa yao ni utendaji wa kazi ulionyooka na wanaamini kwenye kufunga mitambo kiutendaji kuliko kutumua binaadam maana yake kuna ajira nyingi hapo zitapungua

Hawa ndugu zetu wahindi ni wataalam wa kubana natumizi na unoko Waliowahi kufanya kazi sekta binafsi nadhani mnawajua, sasa hawa watu ndio wanaenda kuwa mabosi wa wafanyakazi wa Bandari, maana yake kama mlizoea kufanya kazi kimazoea mtakutana nakitu ambacho hamjakizoea

Na wale waliokuwa na mikataba ya mwaka 1,1 ambao hawakupata mikataba ya kudumu nyie pia mjiangalie , Ule upigaji na yale mambo ya kwenda kula lanchi masaa 2 tegemeeni mabadiliko mahindi ni balaa kwenye kazi kama hamuamini waulizeni wafanyakazi wa viwandani walipojaa wahindi muhindi ni nulsi na hapo DP msishangae wamejazwa humo ndani
 
Umeeleza kama unawasikitikia na unawapa tahadhari, yaani kama vile bandari (The Coast of Hope) imeanza kuanguka, ila haijafika chini, ikishafika, wataumia.

Lakini hakika uko sawa kabisa bandari inaenda na tulio wengi hatuumii kuhusu kwenda kwa mwekezaji bila kujali race yake.

Ila kinachouma wengi ni terms za mkataba kuwa za siri, na kwamba hadi leo hii hata Serikali haijasema kuwa ukifika wakati wa kusaini mkataba wenyewe, kama serikali wameamua kumpa mwekezaji miaka mingapi hata kama asingekuwa DP WORLD, bado maumivu yamekaa ki-fear of the unknowns.
 
Umeeleza kama unawasikitikia na unawapa tahadhari, yaani kama vile bandari (The Coast of Hope) imeanza kuanguka, ila haijafika chini, ikishafika, wataumia.

Lakini hakika uko sawa kabisa bandari inaenda na tulio wengi hatuumii kuhusu kwenda kwa mwekezaji bila kujali race yake.

Ila kinachouma wengi ni terms za mkataba kuwa za siri, na kwamba hadi leo hii hata Serikali haijasema kuwa ukifika wakati wa kusaini mkataba wenyewe, kama serikali wameamua kumpa mwekezaji miaka mingapi hata kama asingekuwa DP WORLD, bado maumivu yamekaa ki-fear of the unknowns.
yah
 
Siungi mkono huu ubinafsishwaji ila ningependa kuwapa ukweli tu wafanyakazi wa Bandari kukaa mguu sawa wajue kuwa mambo yanabadilika huenda wengi wakakakutana na kitu ambacho hawakutarajia

Waarabu huwa wanamiliki makampuni tu sababu wana pesa ila kiutendaji Wazungu na wahindi ndio huwa wamewajaza kwenye makampuni yao na kama mnavyojua wazungu falsafa yao ni utendaji wa kazi ulionyooka na wanaamini kwenye kufunga mitambo kiutendaji kuliko kutumua binaadam maana yake kuna ajira nyingi hapo zitapungua

Hawa ndugu zetu wahindi ni wataalam wa kubana natumizi na unoko Waliowahi kufanya kazi sekta binafsi nadhani mnawajua, sasa hawa watu ndio wanaenda kuwa mabosi wa wafanyakazi wa Bandari, maana yake kama mlizoea kufanya kazi kimazoea mtakutana nakitu ambacho hamjakizoea

Na wale waliokuwa na mikataba ya mwaka 1,1 ambao hawakupata mikataba ya kudumu nyie pia mjiangalie , Ule upigaji na yale mambo ya kwenda kula lanchi masaa 2 tegemeeni mabadiliko mahindi ni balaa kwenye kazi kama hamuamini waulizeni wafanyakazi wa viwandani walipojaa wahindi muhindi ni nulsi na hapo DP msishangae wamejazwa humo ndani
Mimi siamini kwamba wote watendelea kuwepo, lazima wapungue. Hakuna mtu atatumia AI(artificial intelligence) na aendelee kubaki na wafanyakazi wengi. Lazima wapungue ata kama wanasiasa wanasema hakuna wa kupoteza kazi. DPW ndo ataamua!!!
 
Watakaliwa kooni mpaka wakome, kazi za serikali huwa raha sana kufanya mpaka kupata mshahara unaupata bila stress. Wahindi ni wanoko asikuambie mtu, unasimamiwa kooni ufanye kazi, usipokuwa mjanja wa kupata wasaa wa kula na kuvuta pumzi unaweza kufa hivi hivi unajiona. Ishu ya mishahara ndio mziki mnene, usishangae ukalipwa mkia wa mbuzi badala wa ng'ombe ukaishia kwenye umasikini wa kutopea kama utang'ang'ania kufanya kazi muda wote wa maisha yako hapo bila kujiongeza
 
Siungi mkono huu ubinafsishwaji ila ningependa kuwapa ukweli tu wafanyakazi wa Bandari kukaa mguu sawa wajue kuwa mambo yanabadilika huenda wengi wakakakutana na kitu ambacho hawakutarajia

Waarabu huwa wanamiliki makampuni tu sababu wana pesa ila kiutendaji Wazungu na wahindi ndio huwa wamewajaza kwenye makampuni yao na kama mnavyojua wazungu falsafa yao ni utendaji wa kazi ulionyooka na wanaamini kwenye kufunga mitambo kiutendaji kuliko kutumua binaadam maana yake kuna ajira nyingi hapo zitapungua

Hawa ndugu zetu wahindi ni wataalam wa kubana natumizi na unoko Waliowahi kufanya kazi sekta binafsi nadhani mnawajua, sasa hawa watu ndio wanaenda kuwa mabosi wa wafanyakazi wa Bandari, maana yake kama mlizoea kufanya kazi kimazoea mtakutana nakitu ambacho hamjakizoea

Na wale waliokuwa na mikataba ya mwaka 1,1 ambao hawakupata mikataba ya kudumu nyie pia mjiangalie , Ule upigaji na yale mambo ya kwenda kula lanchi masaa 2 tegemeeni mabadiliko mahindi ni balaa kwenye kazi kama hamuamini waulizeni wafanyakazi wa viwandani walipojaa wahindi muhindi ni nulsi na hapo DP msishangae wamejazwa humo ndani
SAS Kama watawalipa vzr sioni shida ya muhindi kwenye Kaz wanyamwezi wengi Ni wavivu wa kila kitu wao wanawaza tu upigaji na ngono Sasa acha muhindi aje


Mzungu yeye anajali haki za binadamu Ni muungwana Sana ukibahahti kufanya Kaz na mzungu Ni watu waungwana snaa sana

I'll mchina Ni mpuuz kupitiliza muhindi mwenyewee

Watnyamwez fanyeni Kaz bhna kazi zionekaane Kama mtaajiriwa na hao warabu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada Kwa kuongezea ni hivi hata wale wenye makampuni ya clearing & forwarding wataumia haswa pia wenye bandari kavu za hapa katikati mwa mji ndiyo bye bye tena... kumbuka bandari kavu ya serikali kule mlandizi imeshakamilika Toka mwezi may kinachosubiriwa ni train za kubeba makontena Toka bandarini - mlandizi.

Malori nayo yatapungua Kwa 40% hapa DAR maana yote yataishia Huko mlandizi, Kwa kifupi hii ishu ya bandari inagusa watu wengi Sana
 
Mbona uzi unahalalisha kuuza bandari yetu wakati tumekubaliana mkataba ni mbovu?
Ukiangalia kwa jicho la tatu wanaopinga Hii issue ni wale wa maslahi Yao binafsi na si uzalendo wa kimaendeleo….na wanatumia nguvu na pesa nyingi kuwaaminisha wananchi ambao hawajui hata bandari kavu ni nini,yaani wengine hata bahari yenyewe hawaijui…

Embu fikiria Dp w angeleta mkataba wa kuendesha shirika la umeme kuna mwananchi ambae angekataa….mi mda huu tanesco wamekata umeme tena bila taarifa,huu si usnge
 
Back
Top Bottom