Rais atakuwa na wigo finyu Sana kupata mawaziri anajaziwa wazee na under performers. Bado rushwa bado IPO
Hivyo cc wanafanye KAZI Yao Kwa maslahi ya nchi.
Luchelele na shadi maji hayatoki miezi kadhaa bomba zimebaki kuwa mapambo! Barbara ya bulale majanga, mwasonge ujenzi WA daraja umesimama! Mabadiliko nyamagana!
Ingeweza kuwa benki kubwa yenye ufanisi sbb ya base kubwa ya waalimu wengi hapa nchini. lakini imeanza vibaya kwa ubabaishaji mkubwa na inashangaza BOT na CMSA wapo kimya wakati watu wamewekeza katika hii benki na wanasubiri returns!
Good points mmeeleza wanajamvi, utaalamu katika kilimo na ufugaji na masoko. Pia role ya vyuo vya kilimo, uvuvi na mifungo ionekane kwa kutoa ushauri, mbegu bora, miche bora etc. ranchi za taifa je hatuoni mkakati wowote! Hizi zingefufuliwa na ufugaji ukafanyika at a large scale ukawa linked na...
Hongera ATCL. Toeni basi mapema route za ndege hii mpya na kuanza promotion. Naona upande wa marketing upo kimya enzi hizi za ushindani! Anzeni kuonyesha mnaleta kitu gani tofauti kwenye soko kulinganisha na washindani wenu vitu kama bei, huduma bora, route conveneit kwa wasafiri waunganishao...
Hukumu ya ICSID kutotekelezwa na Tanesco kuamua kufuatilia another avenue wakati hukumu imeshawapa nafuu.
Umiliki wa PAP na uhalali wa document walizotumia - CAG alisema ni forged documents. hakujishughulisha nalo.
Kutamka openly kuwa zile fedha ni za IPTL - Kukubali kuwa PAP wanatakiwa walipe...
Hapa nimenukuu gazeti la guardian. Pia refer gazeti hilo tar.11/june 2013. there is a critical analysis of the g8 meeting whereby the big 8 pretend to help africa on conditions that their MNCs be allowed to invest in agriculture so solve the food problem. Actually they are looking for markets...
Cameron, like Tony Blair, has thrown the NGOs a bone: he will fight for an international mechanism to monitor where multinationals make their money, and where they pay their taxes. The NGOs are duly impressed, and cheer Cameron on. It should go without saying that they will be presented with...
Anzia Nyakato hadi mjini kwenye highway ya mza-musoma na Buhongwa hadi city centre kwenye highway ya mza-shy.
Bei inategemea, maeneo ya nyegezi kukodi site hadi 10m kwa mwaka, pengine ni cheaper hadi laki tano.
MZA inaweza kulipa sana maana ongezeko la magari ni kubwa na pia MZA kuwa njia ya magari yaendayo Bukoba, Musoma, Uganda, Kenya, Burundi na Rwanda. Nachoweza kukusaidia ni site nzuri hapa MZA kwa kujenga carwash.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.