Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 441
Na mkitaka website ya travelling and booking mje
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
DuhMwenzako huyo hapo View attachment 1370949akipiga yowe.
huyu mleta uzi hajakusudia kudanganya kuhusu gamboshi na amesema vizuri tu kama amekosea, tusimwelewe vibaya tumsaidie. GAMBOSHIhaipo Geita,ipo Bariadi,Simiyu. ungeuliza pale bujora pengine ungetafutiwa guide top manyota wa walozi angekupeleka kwa zile dirimu laina zetu wasukuma au hata honda chapa ya mbiti ingekufikisha fasta
Naona kama vile umetoa jibu jepesi hasa kwa ambao hawajasoma au hawana muda wa kupitia hizo nyuzi zako zingine. Ungefafanua kidogo.I’m clean
Don’t listen to haters. Hayo mambo anayoweka hapa yameshajadiliwa sana. Na huyo mtu anaitwa Frank si mimi.
Pitia nyuzi zangu.
Im legit
Fikiria pia tour ya Uganda na Kisumu Kwa usafiri meli ya Mv Victoria hopefully to begin this Match!Sawa
Fikiria pia tour ya Uganda na Kisumu Kwa usafiri meli ya Mv Victoria hopefully to begin this Match!
Unataka kulizwa kama wenzako waliolizwa humu JF sio?
Naona baada ya kuona huyo jamaa amekuanika huku JF ndio ukaona umpooze asiendelee kukuchafulia sio?
Watu kibao washakulalamikia humu,anyway wapambane na hali yao.
Asante, hiyo ni kwamba hafai kama hajaja kufafanua hapa. GLOBAL CITIZEN njoo hapa ujisafishe, ili nikupe dili
Man! It matters a lot! Jisafishe kiurefu, usidhani wengine tupo amateurs, vetting is critical when you deal with any stranger even sometimes your mother man!
I’m clean
Don’t listen to haters. Hayo mambo anayoweka hapa yameshajadiliwa sana. Na huyo mtu anaitwa Frank si mimi.
Pitia nyuzi zangu.
Im legit
Naona kama vile umetoa jibu jepesi hasa kwa ambao hawajasoma au hawana muda wa kupitia hizo nyuzi zako zingine. Ungefafanua kidogo.
AirBnB pale Mwanza mlilipa kiasi gani per night mkuu?
MURUSI Hebu fafanueni vizuri huo utapeli wa jamaa na amewahi kumtapeli nani usikute ni chuki binafsi mnaleta.Kutokana na trends tu za Jamaa mimi nimeshamjua ni mtu wa aina gani nawaasa vijana wenzangu muwe makini sana
Ukiona mtu zaidi ya mmoja anamnyoshea kidole, jua kuna walakini. Na katika story zake inaonesha kama wageni wanampa offer, unaona hapo kuna la maana kweli?MURUSI Hebu fafanueni vizuri huo utapeli wa jamaa na amewahi kumtapeli nani usikute ni chuki binafsi mnaleta.
Wengine tupo serious tunataka tufanye biashara na jamaa.