asanteni sana jamani nimefanikiwa kumpata...humuhumu jf na tumeshaanza kuwasiliana kwa simu....asanteni mno...ni urafiki kwanza, tukielewana vzr basi nachukua jumla.
maana ya thread yangu ni kutaka kuwafahamu wengine zaidi kwa kuwa hao hawatoshi na kwamba bado sijabahatika kusoma koments za wanajf wengine...hapa ndio ninazidi kujua hekima za wana jf.
sawa mkuu maana hapa bwana kuna watu wamepinda sana ndio maana nataka nijue washauri wazuri ni akina nani ili niwamention wakati naweka shida yangu hapa...asante.
jina langu lisikutishe mkuu...kuna binti mmoja hapa ninapofanya kazi ndio ana majigambo sana japo ni mrembo sana, ndio maana nikaamua kutumia jina hilo...si zaidi ya hapo usiogope.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.