hivi kweli nimeshawahi hata kutembelea uwanja wa ndege? mhh sikumbuki.....
nenda kipawa ukaone madege sst acha kujishusha hivyo
hivi kweli nimeshawahi hata kutembelea uwanja wa ndege? mhh sikumbuki.....
Wamebarikiwa aisee......sie ngoja tuendelee kufa maskini.
JK ni zaidi ya mbayuwayu kwa kupaaangalieni mheshimiwa wetu asione hii thread,wallah mtakula nyasi tena,na anavyopendaga kuelea.
Hivi lile lilo tulisha majani liko hivi??
Kama Laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, Air Force One ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Wamebarikiwa aisee......sie ngoja tuendelee kufa maskini.
Kumbe kale ka njiwa ketu ni kama guta tu!!!
Sidhani kama lipo hvyo..mana tungekula mizizi badala ya majani..
hivi kweli nimeshawahi hata kutembelea uwanja wa ndege? mhh sikumbuki.....
flight number,mruko nambari[maarum kwa us presda]Kama Laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, Air Force One ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Behind-the-scenes photos from Air Force One show the Obamas mingling with the Bushes and Hillary on journey to South Africa for Mandela's memorial
hata kama wananchi tutakula nyasi, siyo?nikiwa waziri lazima rais wetu anunuliwe kama hilo!:A S-confused1: