Kwa single ladies tu

Kwa single ladies tu

habari za leo wakuu.
Nimekuja leo hapa nikiwa na suala la kutafuta mke...
akina dada aliye tayari ani pm
umri wangu 34yrs.

yaani na umri wote huo unatafuta demu jf kweli wewe ni tatizo..
 
njooo jf party jumamosi hiii tinga suti ya ukweli uwe na wallet iliyonona tena uwe unaongea points tu lazima utampata akufaaaaye lakini usitudanganye una salary ya 2.million na wakati hata jf party umeshindwa kulipia
 
subiri kidogo, cashflow yako ipo vipi?

oooh, hiyo ni baada ya deductions zote au?
1381935_173669822822731_2096504244_n.jpg
 
njooo jf party jumamosi
hiii tinga suti ya ukweli uwe na wallet iliyonona tena uwe unaongea
points tu lazima utampata akufaaaaye lakini usitudanganye una salary ya
2.million na wakati hata jf party umeshindwa kulipia

Duuuh!suti ya kuazima anaruhusiwa kuja nayo?
 
Miaka yote hiyo hujapata wa kuoa...domo zege km sio kula kulala
 
asanteni sana jamani nimefanikiwa kumpata...humuhumu jf na tumeshaanza kuwasiliana kwa simu....asanteni mno...ni urafiki kwanza, tukielewana vzr basi nachukua jumla.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom