Out of topic.
Natafuta dada wa kazi.
Umri miaka 13-25
Awe mcha Mungu.
Nyumba ipo Arusha,Mianzini.
Nyumba ina Mama na mtoto wa miaka 5.
Mshahara 40k/month (ila kuna maelewano)
Kula kulala juu ya familia.
Kwa mawasiliano zaidi +255 652 773325.
Solution ni moja tu Hormones zake zipo chini hivyo zinahitaji stimulant ili arudi normal...Hapo tafuta SUPPLEMENTS za BF SUMA dozi nzima anatumia two weeks then utanipa matokeo...Japo ni Ghali sana.
Hii AIBU kuliko.
Pisi kali nyeupe Chotara ya Kizambia nimeifukuzia miezi 4 Siku ikanipa penzi mpaka kunakucha....MJESHI KANISALITI lazimisha Wapi??
Niliona aibu Mimi full kukwepana.
Leo ni miaka 56 tangu Mwanaharakati Mr.El Hajj Shabazz maarufu kama Malcolm Little daima tutakukumbuka kwa Mengi aliyoyafanya japo tumeyakuta kwenye historia.
Endelea kupumzika kwa Amani MALCOLM X dunia bado inaukumbuka mchango wako.
Tarehe 15.02. Ilikuwa ni happy birthday ya Birdman katimiza miaka 52.
Tarehe 16.02 Ilikuwa happy birthday ya ICE T katimiza miaka 63.
Emu wape neno hawa ma HipHopMogul uniambia ngoma gani unazikubali kutoka kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.