Ushauri tu....Mke wangu tumezaa mtoto mmoja miaka 3 na nusu sasa imepita hajashika mimba
Hospital amepima ana chronic pid
Ni wapi atapata msaada zaidi maana madawa ya hospital kama hayatoi majibu hivi nifanyeje wakuu kulisolve hili
Hapo dawa tu mzee, mm sio mtaalam sana ila last time nilimpeleka mtu akachoma injections kadhaa baada ya hapo akawa fresh, nayo ilisumbua sana kabla ya kuponaMke wangu tumezaa mtoto mmoja miaka 3 na nusu sasa imepita hajashika mimba
Hospital amepima ana chronic pid
Ni wapi atapata msaada zaidi maana madawa ya hospital kama hayatoi majibu hivi nifanyeje wakuu kulisolve hili
Mke wangu tumezaa mtoto mmoja miaka 3 na nusu sasa imepita hajashika mimba.
Hospital amepima ana chronic PID.
Ni wapi atapata msaada zaidi maana madawa ya hospital kama hayatoi majibu hivi nifanyeje wakuu kulisolve hili.
huu sio ugonjwa wa zinaa hivyo hapana unless kama anaugonjwa wazinaaVip huu ugonjwa kwa wanaume? Mwanamme hapaswi kutibiwa? Hakuna vimelea anavyoweza kubeba au kusababisha mwanamke asipone?
ulipata ufumbuzi? kama bado na anatumia bima PM nikuunganishe na mtaalamu.Mke wangu tumezaa mtoto mmoja miaka 3 na nusu sasa imepita hajashika mimba.
Hospital amepima ana chronic PID.
Ni wapi atapata msaada zaidi maana madawa ya hospital kama hayatoi majibu hivi nifanyeje wakuu kulisolve hili.