Majesty S P
Member
- Sep 24, 2020
- 62
- 88
Imepita wiki sasa baada ya Mradi wa Mwalimu Nyerere kufunga pazia la kupokea maombi kwa ajili ya maombi ya zile ajira 1500+ Pale kiloka kwenye kampuni za Arab Contactors na Elsewedy
Je, kuna mtu alishaitwa kwenye kada yeyote au connection ni muhimu pia?
Je, kuna mtu alishaitwa kwenye kada yeyote au connection ni muhimu pia?