Recent content by majeshii

  1. M

    Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

    Nilimpa funguo akaenda kwangu kuchukua akanirejeshea funguo baada ya hapo ndo ikawa kwa heli
  2. M

    Maji ya bomba yanatoka wapi Dar es salaam

    Yapo mengi tu njoo uchukue hapa kimala balut
  3. M

    Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

    Wala msijali nikokukamilisha dawa yake
  4. M

    Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

    Utaona Leo angalia taarifa ya SAA 2 ucku ITV utaona nilicho fanya
  5. M

    Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

    Wakuu kuna rafiki yangu mmoja jana ameondoka na PC yangu pamoja na hela laki 5, na hiyo ilikuwa kwa ajili ya chuo, akadai leo saa mbili asubuhi atarejesha, hadi sasa hajaleta afu hata simu haipatikani na inatakiwa nikabidhi kazi ya chuo leo, Naona anataka kulogwa!
  6. M

    Nyerere kutangazwa kuwa mtakatifu

    Hakuna cha utakatifu biblia inasema baada ya kufa ni hukumu tu
  7. M

    Kwanini sadaka la makanisa ya kiroho hazitangazwi kwa waamini wao?

    Umesema makanisa ya kiroho hawatangazi endeleeni nyie kutangaza maana makanisa yenu ni yakimwili
  8. M

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Mahakama ya kadhi ni mpango wa shetani uliotoka kuzimu kama unabisha kamuulize shekhe ponda atakwambia tatizo waislam mnataka mbebwe
  9. M

    Nimewafukuza Polisi waliopanga kwenye nyumba yangu

    Jamaa Leo alitaka kuleta posa kwa dada nikawaambia wazee hebu tusubiri maana huyu polisi anaweza kutupiga mabom
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ngorongoro arusha nije mbeya mjini 0758844240
  11. M

    Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    Ubwabwa wa kyela na nyama ya simba tam sana
  12. M

    Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    Leo mnyama kaliwa na wali
Back
Top Bottom