Recent content by majekea

  1. majekea

    Hali ya uchumi nchini: CAG alia na ukata

    Umeivaa kaka katika career hii..hasa kweny auditn subject mana umetoa clarification nzuri
  2. majekea

    Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

    haya kaiteni mashoga muwahoji tena..
  3. majekea

    Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

    What goes around comes around
  4. majekea

    Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

    Dats how it is...kuna tatzo ndani kwa ndani cuf penyewe
  5. majekea

    Kigwangalla afanya ziara kliniki ya ForePlan, awapa Polisi masaa 24 kumkamata Tabibu Mwaka

    Dodoma mbona mbali.clinic ya mnazii mmoja hakuna chanjo pale
  6. majekea

    Kikwete, Tony Blair rasmi kusuluhisha Mozambique

    Jk wa kimataifaaa...[emoji1] [emoji1]
  7. majekea

    Yaliyojiri ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania na Mwenyeji wake Rais Magufuli

    Tume gani au tafiti zipi zilizofaywa kuonyesha kufeli kwa ATC na njia zipi zitumike kufufua upya shilika..?
  8. majekea

    Yaliyojiri ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania na Mwenyeji wake Rais Magufuli

    Mi nahis hapa magu angefanya tafiti kwanza kwann air tanzania iliferi.?na pili mashirika mengne ya nchi jirani yanaendeshaje ndege zao na kwa faid au hasara and finally angenunua ndege na kulifufua shilika upya la air tanzania...sio mbaya kununua ndege mbili mpya lakn tujuulize kwanza kwanin air...
  9. majekea

    Polisi wazingira Mahafali ya CHASO Dodoma, Watawanywa kwa nguvu

    "The long walk to freedom" by nelson mandela
  10. majekea

    Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Tizeba apelekwa Kilimo na Mifugo

    Wizara ngumu sana hii ya mambo ya ndani nahisi ndo inaongoza kwa mawaziri kufukuzwa kwa kashfa au kujiuzuruu. Mwigulu hapa anakazi ya ziada kua makini hii wizara very sensetive..
  11. majekea

    Matokeo ya Kidato cha Nne ya Paul Tundu Lissu

    African needs mental revolution rights now mana tunapoteza muda mwing kujadili watu badala ya changamoto zinazolikabili taifa km kukosekana kwa ajira.kupnda bei ya bidhaa na upungufu wa money circulation nchini..
  12. majekea

    Video iliyonitoa machozi ya mwanadada aliyedhalilishwa lodge, hatimaye wahusika wakamatwa na polisi

    Gud job km wamekamatwaa mana inauma sana na tukio hilo nilakukemewa vikali pia nlkua nategemea mwenyekiti wa wanawake hon kigwa kulitolea tamko hii lkn yupo kimya pk asubili matukio ya wasanii ndo atoe tamko..asante jackton manyerere kwa habari
  13. majekea

    Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza uwanja ndege wa JNIA, Dar. Akuta mashine mbovu...

    Lugumi is under investigation of sub commitee of PAC so time will tell stay humble mkuu
  14. majekea

    Panama papers: Majina ya Watanzania waliohifadhi fedha nje ya nchi yatajwa

    This thread is very crucial na pia informer mwambieni mjomba magu kuna mahindi yanakwepa kodi kwa kuficha hela njee.
Back
Top Bottom