Yanga wameweka kipengele ukijisikia kuvunja utoe pesa ya usajili na mishahara mi 3. Sasa hicho kipengele cha FIFA kitafanya nini hapo wakati Yanga wametoa nafasi hiyo? Kama wakosaji wawe Yanga kuweka Clause inayokinzana na FIFA kwenye kuvunja mkataba.
Assalam Alleykum. Ninahitaji mwalimu kwa ajili ya kufundisha dini ya Kiislam. Sehemu alipo mwanafunzi ni Luguruni, Morogoro Road.
Mwalimu lazima awe mwanamke na mwanafunzi hajawahi kusoma Quran japo ana Idea na mambo ya Kiislam. Tafadhali kwa anayemjua mwalimu au mtu ambaye anaweza kufanya kazi...
Hii ni mpya kabisa yaani mtumiaji wakwanza nilikua mimi. Ya mtumba niliuza baada ya kuona majanga hayo sasa hiyo mpya majanga yaleyale
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.