Ya kujenga mwenyewe ni nzuri. Unakuwa una uhakika wa viwango unavyovijua. Sio unanunua nyuma kumbe ina mapungufu kibao yamefunikwa na plaster. Mara mbao haziko treated
Ukiona unanyimwa unyumba na mke ujue wewe ndio tatizo. Kuna vitu haviko sawa upande wako. Mahali ninakotoka mwanaume kusema kanyimwa unyumba ni aibu kubwa sana. Sijui wa mjini
Ongea naye kistaarabu tu....mwambie hivi vitu nimenunua tuvitumie kwa mwezi mzima. Kwa hiyo lazima vifike mwisho wa mwezi. Mwambie kama kuna mtu anaomba umgawie tafadhali akupigie simu umgawie mwenyewe ili ili ujue mmetoa kiasi gani ambacho itabidi kununua vingine kujazia ili kukidhi bajeti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.