Recent content by maiye

  1. M

    Radio 47 ndiyo Radio Namba 1 hapa Tanzania kwa sasa

    Pale Tanzania ........ Lete Baba....
  2. M

    Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Yani naona sijui nisome kuanzia chini ndio nitaelewa!!? Au basi
  3. M

    Ukweli mchungu nilio ukubali ndo huu

    Ikimbieni zinaa.....Shalom watu wa Mungu!
  4. M

    Kipi hupelekea wanawake kuwanyima unyumba waume zao?

    Ukiona unanyimwa unyumba na mke ujue wewe ndio tatizo. Kuna vitu haviko sawa upande wako. Mahali ninakotoka mwanaume kusema kanyimwa unyumba ni aibu kubwa sana. Sijui wa mjini
  5. M

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Special Thread: Karibu tukuhudumie, tunaomba Maoni, Ushauri, Malalamiko, na hata Pongezi

    Mmefanya jambo jema sana. Ila chonde msiutelekeze huu uzi kama taasisi nyingi zilivyotelekeza nyuzi zao.
  6. M

    Naomba kujua sehemuwanakofundisha lugha alama

    Tafuta shule yenye watoto viziwi hapo lazima kuna walimu walisoma Elimu maalum. Ongea na mwalimu wa viziwi akufundishe umlipe kifuta jasho
  7. M

    Msaidizi wangu wa ndani anagawa vitu vyangu kwa wanandoa

    Ongea naye kistaarabu tu....mwambie hivi vitu nimenunua tuvitumie kwa mwezi mzima. Kwa hiyo lazima vifike mwisho wa mwezi. Mwambie kama kuna mtu anaomba umgawie tafadhali akupigie simu umgawie mwenyewe ili ili ujue mmetoa kiasi gani ambacho itabidi kununua vingine kujazia ili kukidhi bajeti ya...
  8. M

    Kuifinyia kwa ndani ni kwa wote ama baadhi?

    Uvivu tu wa kulima na kazi nyinginezo.
  9. M

    Unaweza kuishi kama mfalme iwapo tu utaamua. Chumba kimoja sio Jehanam

    Mwenye hilo geto hapiki hata chai jamani? Sijaona sururia wala jiko
  10. M

    Naomba dawa ya kuuua mapanya hii mara ya tatu au mnasubiri tufe mtoe michangoi??

    Kuna mtu amekwambia utumie dawa ya panya kutoka Sua Morogoro. Ile dawa ni kiboko. Iko kama tambi nene hivi. Yani ukiweka hiyo dawa jitahidi kufunika maji. Kesho utakuta wamekauka kau . Mimi jamani niliyeseka na panya. Yani .Kama hujafanikisha fanya mpango Sua. Nilipotumia dawa ya Sua saa hizi ni...
Back
Top Bottom