Ukiona unanyimwa unyumba na mke ujue wewe ndio tatizo. Kuna vitu haviko sawa upande wako. Mahali ninakotoka mwanaume kusema kanyimwa unyumba ni aibu kubwa sana. Sijui wa mjini
Ongea naye kistaarabu tu....mwambie hivi vitu nimenunua tuvitumie kwa mwezi mzima. Kwa hiyo lazima vifike mwisho wa mwezi. Mwambie kama kuna mtu anaomba umgawie tafadhali akupigie simu umgawie mwenyewe ili ili ujue mmetoa kiasi gani ambacho itabidi kununua vingine kujazia ili kukidhi bajeti ya...
Kuna mtu amekwambia utumie dawa ya panya kutoka Sua Morogoro. Ile dawa ni kiboko. Iko kama tambi nene hivi. Yani ukiweka hiyo dawa jitahidi kufunika maji. Kesho utakuta wamekauka kau . Mimi jamani niliyeseka na panya. Yani .Kama hujafanikisha fanya mpango Sua. Nilipotumia dawa ya Sua saa hizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.